Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Laki si pesa kaingia 🤣🤣🤣🤣

Mbona mzuri tu jamani na anajua kutafuta hela mchagga yule?
Kuliko hata huyo K-Lyn uzuri wa bure!
Unaoa mwanamke ambae mpaka ndugu na wazazi wako wanawajua wanaume zaidi ya 10 waliolala nae? Hivi ndoa mnaichukulia poa poa ? Unadhani wazazi watakubali mtoto wao aoe mwanamke malaya anaejulikana na kila mtu? Hata mimi nikisikia ndugu yangu kaoa kahaba nitaenda kumchapa makofi
 
Ile kipindi anakaa kwenye benchi la wajane pale msibani (wakawa wamejipanga wajane wanne sijui watatu) si alikua na nenga 😁
Hapana, ilikuwa bado dear.

Alimuacha Nenga akafuata maokoto, jasiri alipotutoka ndio akarudi kwake sasa japo alipata shida maana Nenga hakumpokea kirahisi alimkazia kwanza.
 
Hapa umeongea kama mwanaume, na mbaya zaidi mwanamke huyo awe kakuzidi umri kwa mbali!

Sijui Rich kilimkuta nini? Ndio mapenzi tena.
 
Hapana, ilikuwa bado dear.

Alimuacha Nenga akafuata maokoto, jasiri alipotutoka ndio akarudi kwake sasa japo alipata shida maana Nenga hakumpokea kirahisi alimkazia kwanza.
Alikuaga na nenga tayari ndo wakaachiaga na koneksheni ya kile kyupi....haya kaenda kwa marehemu huku wapenzi watazamaji tunajua kabisa "kosa la marehemu" halafu tena akarudi kwa nenga, ina maana hapo wote....aaahhh au basi tu
 
Sema ukweli Mkuu, wewe ungepewa Wolper kama mke ungekataa?
Nakataa ....ilishanitokea kwa wanawake wawili wote wake za watu na nilichomoa,mmoja huyo ni mweusi na kafungasha haswa mwengine alikuwa ana miliki grocery,huyu alikuwa mwembamba ana kababy face.

Mimi kwanza mke wa mtu na muogopa,kwenye makuzi yangu nilisha shuhudia jamaa wawili wakichapiwa wake zao, honestly niliwaonea huruma kwani walikuwa wanapitia magumu sana.
 
🤣🤣🤣🤣 kumbe una vituko hivi?

Mimi katika wadada maarufu namkubali sana Maua Sama, kanajielewaaa.

Alipewa somo na Vanessa hajamwangusha, kanakula kimyakimya!
vituko..!!🤭🙈

ukiwa na 'umaarufu' ama 'uzuri', hakikisha unakuwa 'smart', hapo ndiyo utaona matunda ya hiyo 'zawadi', different from that my dear you'll be pathetically doomed...!!
 
Nimekuja kugundua Wopler anapenda vivulana vidogo, wakubwa huwa ni madanga tu.

Refer Harmonize, kale kavulana sijui brown, mume Rich ndio hivyo nae mdogo…
Bila shaka moyo wake unastahimili sana dhoruba za mapenzi. Kama Zari mama Tiffa.
 
Wolper na Rich mitindo hata hawaendani couple yao sikuwahi kuipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…