Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Maokoto
 
Kizazi chetu hiki kinacho endekeza sana pesa ila wazee wetu ni tofauti kabisa. Nimeshuhudia wazee wengi kitaa wakiwa pamoja kwenye nyakati zote na still bado wanapendana.
 
Nimekuja kugundua Wopler anapenda vivulana vidogo, wakubwa huwa ni madanga tu.

Refer Harmonize, kale kavulana sijui brown, mume Rich ndio hivyo nae mdogo…
Wolper hakuolewa Kwa mapenzi,aliolewa ila awakomeshe mtaa Wa Saba
Richie alioa kukurupuka (sijui NAE ni Mchaga yule)mara nyingi hawatelekezi watoto Wao Wana mapenzi Kwa watoto,mwisho wamejikuta hawapendani hapo mfarakano lazima
 
Wolper hakuolewa Kwa mapenzi,aliolewa ila awakomeshe mtaa Wa Saba
Richie alioa kukurupuka (sijui NAE ni Mchaga yule)mara nyingi hawatelekezi watoto Wao Wana mapenzi Kwa watoto,mwisho wamejikuta hawapendani hapo mfarakano lazima
Mbona kama alionesha kumpenda sana Rich? Ukisema alikuwa anataka watoto zaidi nitakubali.

Rich kumpenda Wolper sina uhakika, sijawahi kumuona deep kihivyo.
 
cocastic, hebu fanya uje huku! Kuna ubuyu wako bado wa moto kabisa umeletewa!! Sisi wengine tuko Kijijini huku, na huu umri wetu; tunaona [emoji294][emoji93][emoji92][emoji94] tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nna majukumu lukukii, sasa mda wa kushusha gazeti la udakuu nakosaa.

Mwakani kila exclusive naiweka hapaa
 
Mnatakiwa mnishukuru sana, huu ubuyu ningeupeleka kwa Mange nisingepata chini ya 1M!
DA niffah hebu bhana nawee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1M hiyo vepeee?
 
Nifah inasemekana Wolper aliwahi kukuta meseji richi anabebishana na kidume mwenzie...baby baby nyingi. Inasemekana [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jamaniii, mbna yeye mama mnuko anabebishana na wanawake wenzie.

Cha ajabu nn wote wanajuana.
 
Alikuaga na nenga tayari ndo wakaachiaga na koneksheni ya kile kyupi....haya kaenda kwa marehemu huku wapenzi watazamaji tunajua kabisa "kosa la marehemu" halafu tena akarudi kwa nenga, ina maana hapo wote....aaahhh au basi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee eve utakufa umechoka sana wallah
 
Kwan umesahau giggy alisemaje ktk kuwapatanisha nenga na nandy kule bukoba kwa jasiri?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…