Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #201
We ngoja siku nitakuletea risiti, sijawahi thou.DA niffah hebu bhana nawee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1M hiyo vepeee?
Siku nikiupata wa moto nitapeleka nikuleteeni muamala wa maokoto.
Mange hana hiyana, analipa vizuri sana umbea exclusive na wenye ushahidi.
Watu wanachukua mpaka 3M wewe unashangaa 1?