Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Kwahiyo ku draft barua ya kikodi TRA unaweza?WakO vizuri ila na wenyewe wana beiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ku draft barua ya kikodi TRA unaweza?WakO vizuri ila na wenyewe wana beiiii
Siwezi mkuu, na pia sina uwezo wa kuwalipa hao wataalamu, so nitafunga tu biasharaKwahiyo ku draft barua ya kikodi TRA unaweza?
Utakula wapi sasa mshua ?Siwezi mkuu, na pia sina uwezo wa kuwalipa hao wataalamu, so nitafunga tu biashara
Itakuwa figisu tuu mara ya mwisho nimeomba Tax clearance na kampuni ilikuwa na deni la 140mio plus na wakanipa mbonaYote hayo nafanya mkuu na niko makini sana sana sana,.
Nadhani Ilitokea tu mistake nilichelewa nayo ilikuwa ni kwasababu ya mtandao,. Na sikuwa nafahamu mpaka nilipoenda kuomba Tax clearance ndio nikakutana nalo hilo na wamekaza inabidi nilipe licha ya kujitetea na kuomba kufutiwa,.
Aisee mambo unakuta hayaendi bado wazee wanataka chao na mimi nimejifunga mwenyew wakikagua TIN number yangu toka 2018 inadaiwa.Nimechaka kama ni kitu kizuri eti wataniua..
Ungeuliza watu kwanza. Ohh ona sasa kimekulamba.Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.
Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,
Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,
Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?
Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Mbona unakuwa kama Mkopo 😅Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.
Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,
Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,
Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?
Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Hivi mtu na akili zake na usomi wake na unakuta katokea maisha ya chini utasema wanashangaa kwamba hawajui, wanaelewa sana kodi wanazo kadiria wananchi sio rafiki kabisaHalafu eti Huwa wanashangaa kwanini nchi hii walipa Kodi ni 9% tu ya watanzania wote... Hawajui kwamba tatizo la idadi ndogo ya walipa Kodi linaanzia kwao.
Wewe nifala 😂Wewe unasema hivyo mm nililipa 1 million kwa biashara ambayo haijawah ku operate hata siku moja..
Niliumia sana sitasahau isee.
Upo Mkoa upi kikodi?Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?
Kwa nini ufunge biashara? Hapa kilichotokea ni kukiuka sheria kwa kutolipa tarehe husika. Hesabu hiyo ni hasara lipa hiyo fine pamoja na wanachostahili.Ndio maana nafunga biashara nianze kukimbizana nao na mie angalau nitajirike sasa
Kaka ukiwakuta hao wakusanya Kodi walivyo na juhudi za kukerembesha watu hili walipe Kodi, unaweza ukasema ni watu wenye uchungu sana na taifa hili... Kumbe ni majizi tu yanayotumia uniform za utumishi kuwaibia wanainchi... Na pesa yote inayokusanywa inaibwa kimatabaka, kwanzia Kwa Mwigulu nchemba mpaka Kwa vidagaa wa chini(Tax officers).Yaani wanavyowakomalia hivyo utafikiri wako serious wanatafuta hela ya serikali kumbe wanatafuta hela ya ada za watoto wao na kumalizia nyumba zao.
Nishafunga biashara moja. Hii iliobaki nawasubiri siku ya discussion hawataamini nikiwaambia hio hela mnayotaka nilipe sina, fungeni boashara.
SHIDA ILIYOPO NI KWAMBA OFFICERS WA TRA KWA MAZINGIRA HAYA MAGUMU KWA MFANYABIASHARA WAO NDIO WANAPIGA PESA SAANA,HIVYO HAWAWEZI MSHAURI MAMA WAZIRI WALA MTU YOYOTE KUFANYA MABADIRIKO,WANAPATA PESA NYINGI KUZIDI SERIKALITRA Tanzania tunafanyaje hapa!?
HAWA JAMAA NI BURE KABISA KWANZA HAWAKUPI ELIMU ILI UWEZE FANYA BIASHARA NA KULIPA KODI KIRAHISI WANACHOTAKA WAO NI UKOSEE ILI WAKULIMENa wewe unakadiriwaje kodi kubwa unakubali kulipa? Hio kodi kwa hio biashara ni kubwa
HAWA JAMAA NI BURE KABISA KWANZA HAWAKUPI ELIMU ILI UWEZE FANYA BIASHARA NA KULIPA KODI KIRAHISI WANACHOTAKA WAO NI UKOSEE ILI WAKULIME
Mkuu Mimi Niko kwenye biashara na mwaka wa 3 huu Mimi nachojua kwenye makadirio inategemeana na wewe kwenye maelezo yako na jamaa anaekukadiria una haki ya kukataa kama umekadiriwa kodi kubwa ambao huwezi kulipaHAWA JAMAA NI BURE KABISA KWANZA HAWAKUPI ELIMU ILI UWEZE FANYA BIASHARA NA KULIPA KODI KIRAHISI WANACHOTAKA WAO NI UKOSEE ILI WAKULIME