Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Umewakwepa aje?Mi nimeishi kuwakwepa mwaka wa 7 huu wakinikamata wataniua walahi tena😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewakwepa aje?Mi nimeishi kuwakwepa mwaka wa 7 huu wakinikamata wataniua walahi tena😂
January na mwezi wa saba naishi kijeshi mwendo wa kufunga😂Umewakwepa aje?
Yaani ni kuviziana na kukomoana. Umesahauvku file kikodi cha 500,000/- utapigiwa hesabu na interest tangu 2015 uliyisahau ku file. Sasa huu kama sio uchawi ni nini? Yaani nikiona hawa watu najisikia kutapika kabisa.Ni kweli mkuu RRONDO ila afisa alipaswa kumpa elimu sahihi na njia ya kutoka hapo. Naamini hili lingetokea asingekuja mitandaoni.
Raia tuna udhaifu na maafisa wana udhaifu matokeo yake ndo haya. Kuviziana na kukomoana. TRA anakosa kodi na mfanyabiashara ninakosa uhuru wa kufanya biashara
Hivi mnadhani wanapojisifu kuvuka lengo la makusanyo inakuwaje? ni kukamua haswa na kudhurumu ndani kwa ndani ,yaani punda afe mzigo ufikePamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.
Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,
Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,
Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?
Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Unasajili buz, mara tigo, wakishangaa yas, mwendo kubadili majina ukilala ukiamkaHawa ukiwaendekeza unaua mtaji wako wote,.
Tutaendelea tu kupita njia za panya
Sahihi kabisaHivi mnadhani wanapojisifu kuvuka lengo la makusanyo inakuwaje? ni kukamua haswa na kudhurumu ndani kwa ndani ,yaani punda afe mzigo ufike
Nafunga biashara kihalali, naenda kufanya biashara kitaalamu kama wafanyavyo wengi halafu tuone nani atapata na nani atakosa, hii tra imezidi sana kuonea wanyonge,Kwa nini ufunge biashara? Hapa kilichotokea ni kukiuka sheria kwa kutolipa tarehe husika. Hesabu hiyo ni hasara lipa hiyo fine pamoja na wanachostahili.
Cha kukushauri kwa kuwa tayari una faini kwa kuwa umevusha mwezi Unaweza amua kuizungusha hiyo pesa mpaka tarehe 28 huko ndio uwalipe pmoja na fine ila usivushe kwenda mwezi wa pili utakutana na penalty nyingine. Huenda ndani ya wiki mbili inaweza kuwa imekuletea hata 40,000 au zaidi ikitegemea biashara yako.
Kufunga biashara kwa changamoto ya siku moja utakuwa uzembe wa hali ya juu.
Sawa kila la heri ila kuna level ukifika tu utajikuta uko mikononi mwaoNafunga biashara kihalali, naenda kufanya biashara kitaalamu kama wafanyavyo wengi halafu tuone nani atapata na nani atakosa, hii tra imezidi sana kuonea wanyonge,
Nilienda mwenyewe tra na kurasimisha biashara ya mtaji wa mil saba ndio nipigwe faini kubwa kuliko deni?
Uzalendo huo umenishinda
Asante kwa ushauri
MwanzaUpo Mkoa upi kikodi?
Wanadhulumu ata ccm,ndo uzuri wakeHivi mnadhani wanapojisifu kuvuka lengo la makusanyo inakuwaje? ni kukamua haswa na kudhurumu ndani kwa ndani ,yaani punda afe mzigo ufike
HahahaYaani ni kuviziana na kukomoana. Umesahauvku file kikodi cha 500,000/- utapigiwa hesabu na interest tangu 2015 uliyisahau ku file. Sasa huu kama sio uchawi ni nini? Yaani nikiona hawa watu najisikia kutapika kabisa.
Ndio kwepa mpaka mwisho mpaka wakukamate ndio ulipeSiri ya mafanikio kumbe ni kukwepa kodi