Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Huyu John hapendwi anachinjiliwa mbali uchaguzi huu. Hatakiwi ndiyo maana hata watu anawakusanya kwa lazima.
View attachment 1552626
Dk 30 za Lissu zina maana kuliko massa 8 aliyoongea Magufuli. Muongo huzunguka sana ili kuaminisha uongo wake.....
Mpaka kutishana na kulazimishanaHuyu John hapendwi anachinjiliwa mbali uchaguzi huu. Hatakiwi ndiyo maana hata watu anawakusanya kwa lazima.
View attachment 1552626
Kwani ni lazima rais awe magufuli au mwanaccm? Ujinga wenu tuWatanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
Bila kuwatisha na kuwalazimisha uwanja ungekuwa na Ndugai na mapolisi tuMpaka kutishana na kulazimishana
Pole sn msukule wa lumumba....Chorus: tumeibiwa kura
We ng'ombe Rais Lissu kasema wapi kwamba hatakusanya kodi?Upuuzi mtupu, huyo anayesema hatakusanya kodi na hapohapo anatuahidi mambo kibao, atalipa vipi wafanyakazi bila kodi? ataajiri vipi bila kodi? ataongeza mishahara vipi bila kodi? hivi mnatuchukuliaje watanzania lakini?
Anaahidi kufuta anazoziita kodi 15 za wafanyabiashara na hivyo kuruhusu bidhaa kuingia nchini bure, kweli tunamchagua ili atafutie mabwana zake soko la bidhaa za viwanda vyao? tunamchagua ili aifanye Tanzania dampo? anataka turudi kwenye ukoloni? Pathetic..
Yuko bize na midege etiKweli mkuu. John ana hangaika Sana.
sasa si kila mwaka watu wanastaafu aisee, kama ni yale ya kipindi kile hakuna ambae hajalipwa mpaka leo, ivi mbna vyama vingine havina vurugu kama nyie mbna wengine page zao zko safi kabisa sera nzuri hawana maneno mengi nyie mna tatizo gan
Wewe ni mpumbavu mpumbavu mpumbavu. Jana nimetoka kutuma pesa kwa baba wa mfanyakazi wangu aliyestaafu 2018,wewe unaleta mavi yako hapa.hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
Unataka kulazimisha maji kupanda mlima hali n mbaya acha mizaamaduka gani yamekosa wateja, kkoo nakwenda kila siku ndio kwanza watu wamejaa mpaka usalama uko mashakani.
huku mtaani watu wanajenga fremu kila siku na zinapata wapangaji, boda boda zinabeba watu kila siku mbali na kwamba zinaongezeka kununuliwa.
anakuja mbuzi kuandika mapovu humu, kisa tu ana ndoto za bwana ake kwenda ikulu.
Anajua atashinda kwa kutumia vyombo vya dola ndio maana ana kibriWatanzania wanataka ;-
- Hali bora za maisha.
- Ajira
- Biashara zao zifufuke na kukua
- Mzunguko wa fedha uwe mzuri
- Uhuru na haki vitamalaki.
Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)
View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610
Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.
Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.
Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
namimi nakwambia kaza.Unataka kulazimisha maji kupanda mlima hali n mbaya acha mizaa
Lkn John anateka, anaua, anapiga watu risasi. Huyu hafainamimi nakwambia kaza.
hakuna mwanasia atakayebadiri maisha yako. utaishia kulia lia tu.
Pole sn msukule wa lumumba....
Naona jamaa kutokana na ushamba na ulimbukeni kila siku anaota ndege.....
Nyuma yake kuna upigaji ambao haijawahi kutokea tangia Tupate Uhuru wa bendera....
Tundu Lissu anatufaa sana...