Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Mzee ananihadithia kuwa wazenji waliuana sana enzi za vita vya Idd Amin; unakuta wamejificha basi mwenzake akikohoa tu anaambiwa "webwana wataka twonekane tena wakohoa nini bwanaa?" Baada ya kusema hivyo anamshuti
 
Zile canter zimewekewa ma bench ndani bado zinasafIrisha abiria!!?
 
K
Kwenye tamthilia ya ISIDINGO Kuna actress alikuwa anaitwa "Mthombeni".
Sasa shida Ni kwamba hiyo "tho" haitamkwi Kama ilivyoandikwa, inatamkwa "To"
 
"Konda nishushie poro langu au wanasema kiporo"😂😂 poro ni mzigo kama vile unga wa kilo 25 au mchele.. akienda dukani kununua mchele wa kilo 25 au unga wanaita poro la sembe au poro la mchele.. for the first time kwenye gari kuna mama alikuwa anashuka akamwambia konda nishushie kiporo changu 😂😂 mi nikajua uporo chakula kilicholala hatari tupu.😅
 
Nilifumania mpira wa miguu ukichezwa Sasa ndugu aliekuwa na mpira alikuwa kwenye kona mwenzake akawa analalama kwambi "tia tia tia!" Akiwa na maana apige krosi ije gorini afunge..😂😂
 
Hauvumi lakini umo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
K

Kwenye tamthilia ya ISIDINGO Kuna actress alikuwa anaitwa "Mthombeni".
Sasa shida Ni kwamba hiyo "tho" haitamkwi Kama ilivyoandikwa, inatamkwa "To"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli
 
Daaah umenikumbusha mbali aisee, ila nimecheka Sana'a [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shusha hapo ikipindaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…