Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

[emoji1787][emoji12][emoji12]

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Huku hurambi bila usipoangalia unaweza rudi mkavu bara
Kuna chupi na hafu na ni tofauti kwa hapa umeongopea.

We we round about nienglish sasa unataka waseme English wakat kiswahili kipo?
 
Lkn zinaenda kupungua mkuu Kuna mi kosta yakutosha.. hizo mbavu za mbwa zitakuwa za kubeba mizigo,lkn hata hivyo zile gari zipo njema sio mbavu za mbwa tu bali ziitwe roho ya paka.
Basi siku hizi safi, zamani gari za mizigo ndio ziliwekwa mabench kwa ajili ya kibeba abiria.!
 
Sie nyanya huku twaita tungule. Soko twaita marikiti. Mpenzi twamwita babibi
 
Mzee ananihadithia kuwa wazenji waliuana sana enzi za vita vya idd amin; unakuta wamejificha basi mwenzake akikohoa tu anaambiwa "webwana wataka twonekane tena wakohoa nini bwanaa?" Baada ya kusema hivyo anamshuti
Hizo fix sasa kaka
 
Askari wa Zanzibar
_ akija kukukamata anakwambiya utangulie kituoni,,,tena
anakukabidhi gegeje ukifika pale police umsubiri nje,,
Yeye anamalizia kula urojo..
Kkkkkk askari wa Zanzibar ...
Halafu nasikia wanavaa shati la police wanachomekea msuli na kubazi..na kofia ya balaghashea..
_mwanamke akipanda bodaboda haruhusiwi kumshika kiuno mwendesha bodaboda,,,anapaswa akae upande upande..
Halafu majina yao sasa!!
Chamba wima.
Mfereji maringo.
Chokocho.
Kiembe samaki.
Kiembe ladu..
Nasikia akikamatwa mwizi hapigwi,,,bali anamwagiwa vumba la samaki,,,akaliwe na paka huko aendako.
 

Wanafanya kusudi kutukana
Kuna kituo Chao kimoja kinaitwa 'ikikuuma seema'
Konda mkifika anasema 'kikuuma'..

Wanapenda lugha za matusi sana
 
Nyanya maji wanaita TUNGULE,

Afu mademu wa huko wanatuchukia sana vijana wa huku bara,yaani wanatuona Kama TAKATAKA ila kaka zao wanawala freshi tu dada zetu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…