Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Yani we acha tu! Nilisikia eti aliyewahi kuwa rais wa South Africa Thabo Mbeki ana mtoto wa kike anaitwa Sito Mbeki ila hiyo nahisi watu walizusha tu mitandaoni!
😀😀😀😀

Aisee. Ila inawezekana tu maana kwa huko kwao hayo majina yanaweza kuwa na maana nzuri kabisa.
 
Niliendaga field huko 2012, nilishtuka kuambiwa nenda kachukue maji mferejini pale mkaoge 😂😂😂😂
 
Yani we acha tu! Nilisikia eti aliyewahi kuwa rais wa South Africa Thabo Mbeki ana mtoto wa kike anaitwa Sito Mbeki ila hiyo nahisi watu walizusha tu mitandaoni!

Ni kweli
Ila hilo Sitho ni ufupi
Ndo wabongo wakaliunga na la babake
Inakuwa hivyo..
Kulikuwepo na waziri anaitwa jina tusi kuliko Hilo
 

Kuna kipindi Zanzibar pombe ilikuwa mahotelin Tu na bar moja ya CCM.

Sijui sasa

Sasa condoms aisee zilikuwa zinauzwa Duka moja tu pale mjini
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀


Wewe hebu acha kunivunja mbavu mbele za watu mie yani umenifanya ni-screenshot hii comment nije nicheke na baadae. Wewe umetembea sana huko aisee ngoja nami nijipange nije kwenda huko niinjoy maisha.

KENZY jipange tutaenda huko mchamba wima.
 
mhhhh ..
 
Ha ha! Usihofu
 
Duh nikiskia huko zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.
Lafudhi kama hizo vyakula tofauti vyao,mavazi,
Kama hujui unaweza mtia dole kweli.
Vipi mkuu pisi zipo huko zinatafunika?
Watu wanaingia na pigo gani?
Shida gonga mali ya mtu akubambe na "wao"wanakugonga vizuri tu huku "mpenzi"wenu anashuhudia na wala hawakutangazi mwenyewe tu unahama kimya kimya na wana namba yako wanakusalimia mpaka unabadili namba
 
Ni kama wahindi wana makna ya akna KUMAR wakat huku ni tusi
 
 
Yani we acha tu! Nilisikia eti aliyewahi kuwa rais wa South Africa Thabo Mbeki ana mtoto wa kike anaitwa Sito Mbeki ila hiyo nahisi watu walizusha tu mitandaoni!

Nafikiri her actual name ni Sithole Mbeki..


Kulikuwepo na waziri anaitwa Jackline Nthombeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…