Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Wanafanya kusudi kutukana
Kuna kituo Chao kimoja kinaitwa 'ikikuuma seema'
Konda mkifika anasema 'kikuuma'..

Wanapenda lugha za matusi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna muda hata mie nahisi huwa wanafanya makusudi kabisa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aisee. Ila inawezekana tu maana kwa huko kwao hayo majina yanaweza kuwa na maana nzuri kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kazi kweli kweli
 
Ni kweli
Ila hilo Sitho ni ufupi
Ndo wabongo wakaliunga na la babake
Inakuwa hivyo..
Kulikuwepo na waziri anaitwa jina tusi kuliko Hilo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliona kuna mtu humu alishawahi kuweka list ya viongozi wenye majina ya ajabu kama hayo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We cheka tu mama, ila Zanzibar ni kuzuri sana.
 
Nafikiri her actual name ni Sithole Mbeki..


Kulikuwepo na waziri anaitwa Jackline Nthombeni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ila wasauzi nao majina yao ni changamoto
 
Hahah nyanya wanaita tungure, hiyo maji ya mferejini siku za mwanzo nilipata tabu sana naambiwa nenda mferejini halafu mimi natafuta mitaro.
 
Unafanya nini Zanzibar wewe au ndio umeenda kusimamia show ya terehe 27😂😂😂😂😂😂
 
sema wanavutia sana kuwasikiliza,wanavyovuta maneno.

kama mkazj wa dar akienda mikoani[emoji28][emoji28].

lazima wakushtukie.
 
Machangudoa walio Zanzibar ni WA bara na kwenda kufanyia ufuska Zanzibar. Hakuna changudoa mzanzibar.
Machangu wote pale zenji ni wabara ambao wamekwenda kutafuta kazi za mahotel wakakosa wakawa machangudoa au straight tangu wanatoka bara wamepanga kwenda kujiuza zenji.

Ndio maana pia imekuwa ngumu kupangishwa nyumba au chumba maana wanajulikana ni malaya tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16]palinishinda

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Naomba nikurekebishe sio harage wanasema haragwe.
 
Duh nikisikia huko Zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.
Lafudhi kama hizo vyakula tofauti vyao, mavazi,
Kama hujui unaweza mtia dole kweli.
Vipi mkuu pisi zipo huko zinatafunika?
Watu wanaingia na pigo gani?
Hakuna kitu kigumu Kama kupiga pisi za kizenji. Yaani hapo unatakiwa uwe super star kwenye hiyo anga.
 
Usiombe uende huko vinijini, wakiongea unaweza usiam ilie kitu[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…