Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Mmeamua kubisha tu
Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha tafauti,kuna Kibantu,Kireno, Kihindi, Kiarabu.. Nk

Lakini maneno ya Kiarabu yanajenga asilimia 60 katika Kiswahili

Kuwekwa maneno matano halafu yote ni noun haimaanishi ndio Kiswahili chote
 
Chief, tumeondoka kwenye historia naona umekuja kwenye mambo ya dini sasa?
Ok, ni hivi inatumika na hadi hii leo inatumika inajulikana kama hijri kalenda.
Huko tumehama maana mnabisha tunavyovijua imebidi tuulize tusivyovijua mfurahi kutuelimisha

Inatumika wapi? Maana darasani sijakutana nayo
 
Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha tafauti,kuna Kibantu,Kireno, Kihindi, Kiarabu.. Nk

Lakini maneno ya Kiarabu yanajenga asilimia 60 katika Kiswahili

Kuwekwa maneno matano halafu yote ni noun haimaanishi ndio Kiswahili chote
Nilishachukua side kwenye huo mtanange potezea
 
Huko tumehama maana mnabisha tunavyovijua imebidi tuulize tusivyovijua mfurahi kutuelimisha

Inatumika wapi? Maana darasani sijakutana nayo
[emoji2986][emoji2986][emoji2986]
Sasa ukutane nayo ili iweje, wenye imani yao wanakutana nayo kila siku.
 
Mpaka ukumbushwe

Usipokumbushwa inakuja KK
Hivi unafikiri kwa kutumia nini? Kila siku naiona naijua, na hakuna alienikumbusha nimeona ni vizuri nitumie mnayoielewa ili tuweze kuelewana, maana ningetumia ya kwangu sidhani kama mngenielewa.
 
Hivi unafikiri kwa kutumia nini? Kila siku naiona naijua, na hakuna alienikumbusha nimeona ni vizuri nitumie mnayoielewa ili tuweze kuelewana, maana ningetumia ya kwangu sidhani kama mngenielewa.
Tusingekuelewa kwa kuwa haifahamiki
 
Sikuelewi kwa kuwa hatukuelewi kwa sababu Mohamad haeleweki
Sahihi kabisa, basi endelea kubaki na kuamini unayoamini nami niendelee na nibaki na ninayoamini, hakuna sehemu uliyoshikwa mkono kumuamini...
 
Sikuelewi kwa kuwa hatukuelewi kwa sababu Mohamad haeleweki
Nilihisi mapema sana kwamba huu uzi ungekuja kufikia hapa...

Swala hili siyo la ajabu kwani kuna nyuzi nyingi sana ambazo zimeanzishwa /zinaanzishwa kwa kuongelea jambo fulani ila hatimaye zinageuka kuwa hivi

Kupitia hali hii ndo tuamini MwenyeziMungu yupo ndugu zangu tuchukue hatua jamani achaneni na propaganda za kina Kiranga

Tena huwa nashangaa eti watu wakiwa wamejikita wanazungumzia hayo mambo basi utakuta post zinaeditiwa au zinafutwa kabisa. Moderators hawakuishia hapo bali wakaenda mbali zaidi eti mpaka jukwaa la dini 'akina sisi' hatulioni sijui limefutwa au ndo 'ban' limetuhusu! Sijui.

Nitoe tu wito kwa watu wote kwamba dini ni mfumo mzima wa maisha ya mtu kwahiyo mada yoyote inapofikia kwenye kupondea kukashifu kukandia ku... nk juu ya UISLAMU (QUR'AN/MUHAMMAD/ALLAH) au UKRISTO (BIBLIA/PAULO/YESU) basi tusishangae kwakuwa dini mbili hizo ndizo zinazogusa watu wengi Tanzania
 
Nilihisi mapema sana kwamba huu uzi ungekuja kufikia hapa...

Swala hili siyo la ajabu kwani kuna nyuzi nyingi sana ambazo zimeanzishwa /zinaanzishwa kwa kuongelea jambo fulani ila hatimaye zinageuka kuwa hivi

Kupitia hali hii ndo tuamini MwenyeziMungu yupo ndugu zangu tuchukue hatua jamani achaneni na propaganda za kina Kiranga

Tena huwa nashangaa eti watu wakiwa wamejikita wanazungumzia hayo mambo basi utakuta post zinaeditiwa au zinafutwa kabisa. Moderators hawakuishia hapo bali wakaenda mbali zaidi eti mpaka jukwaa la dini 'akina sisi' hatulioni sijui limefutwa au ndo 'ban' limetuhusu! Sijui.

Nitoe tu wito kwa watu wote kwamba dini ni mfumo mzima wa maisha ya mtu kwahiyo mada yoyote inapofikia kwenye kupondea kukashifu kukandia ku... nk juu ya UISLAMU (QUR'AN/MUHAMMAD/ALLAH) au UKRISTO (BIBLIA/PAULO/YESU) basi tusishangae kwakuwa dini mbili hizo ndizo zinazogusa watu wengi Tanzania
Niliisoma pahala hii
20201109_200257.jpg
 
Sikuelewi kwa kuwa hatukuelewi kwa sababu Mohamad haeleweki
kuna sehemu nilisoma wanasema ukichukua kamusi ya kiarabu ukaiweka kwenye blenda ukaisaga kwa nusu saa..baadaye ukachukua vile vipande vipande ukaviunganisha mezani unaweza ukatengeneza quran.


NB:The p in islam stands for 'peace'
 
Kiswahili kimeanzia Zanzibar,hata hichi ulichokiandika Kama sio Zanzibar usingeliandika

Nyerere alilazimisha Watanganyika lazima wajivunze Kiswahili baada ya kuipatia Tanganyika Uhuru

Zanzibar hakuna makabila, Wazanzibari halisi wamechanganyika damu na Warabu,Wahindi,Wasomali,Waafrika nk..

Lugha moja Tu Kiswahili..
Na hata taasisi ya kiswahili Tanzania makao makuu ni Zanzibar
 
Nilihisi mapema sana kwamba huu uzi ungekuja kufikia hapa...

Swala hili siyo la ajabu kwani kuna nyuzi nyingi sana ambazo zimeanzishwa /zinaanzishwa kwa kuongelea jambo fulani ila hatimaye zinageuka kuwa hivi

Kupitia hali hii ndo tuamini MwenyeziMungu yupo ndugu zangu tuchukue hatua jamani achaneni na propaganda za kina Kiranga

Tena huwa nashangaa eti watu wakiwa wamejikita wanazungumzia hayo mambo basi utakuta post zinaeditiwa au zinafutwa kabisa. Moderators hawakuishia hapo bali wakaenda mbali zaidi eti mpaka jukwaa la dini 'akina sisi' hatulioni sijui limefutwa au ndo 'ban' limetuhusu! Sijui.

Nitoe tu wito kwa watu wote kwamba dini ni mfumo mzima wa maisha ya mtu kwahiyo mada yoyote inapofikia kwenye kupondea kukashifu kukandia ku... nk juu ya UISLAMU (QUR'AN/MUHAMMAD/ALLAH) au UKRISTO (BIBLIA/PAULO/YESU) basi tusishangae kwakuwa dini mbili hizo ndizo zinazogusa watu wengi Tanzania
Mungu yupo ila dini ni vitu vya ajabu ajabu tu walivyoleta wakuja
 
Back
Top Bottom