Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.

Wananchi hawapeleki kesi mahakamani. Hiyo ni kazi ya serikali. Kama ni kutengeneza kesi basi serikali ndiyo itazitengeneza...
Lakini siyo rahisi kama unavyotaka tufikiri.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Mkuu wa wilaya ni mtu mdogo sana! Hata kumiliki silaha ni kujitafutia matatizo tu.
 
Wale wanaopenda kuteuliwa na wateule WAJIPANGE atakuja mteule na wateule wake, wanakula wateule wa mteule aliyepita.
Iwe kwa Wema au Ubaya.
Yatafukuliwa makaburi ya wateule wa mteule aliyepita. Wateule wapya watakuwa na maelekezo ya Mteule.
Ngoja nikalime mbaazi tu mtudhulumu bei nyie wateule wa sasa na kutulazimisha kuuza mnavyotaka wakati tunalima hamkuwepo
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Ndiyo maana kuna mahakama ambayo kazi yake ni kuamua kulingana na ushahidi unaotolewa.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
 
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
So mtu akandamize wenzake kwa misumari ya ugoko aachiwe tu kisa hayo uliyoandika hapo?
 
Acha uoga, kama wewe ni msafi basi mahakama haiwezi kukukamata na kosa, and bahati nzuri haya mambo ya kuwekwa ndani bila dhamana soon yanaenda kufutiliwa mbali, kuwa na amani
Wewe si ulikuwa kundi la kusifu na kuabudu na hukuwa miumini wa mabadiliko ...na ulishadidia Sana kuteswa watu Bila dhamana ...
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Wananchi wakipigwa na kuuwawa na Watu kama akina Sabaya it is Ok. Wananchi hao hao wakipata mwanya wa kutafuta haki yao eti ni Kiburi na kuleta kesi za uongo. Mbona hukuwalaumu wanao wabambikizia kesi Wananchi mpaka Rais kakemea??. Sometimes kuweni objective Wananchi siyo Wajinga.....Disgusting[emoji41]
 
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Kwa hiyo majambazi yaende kuhifadhiwa wapi hujakutana na jambazi wewe
 
Back
Top Bottom