Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.

Una maana wale waliokuwa wakijinasibu zaidi kwa uzalendo wao uchwara?

😁😁

Hiiiiii bagosha!
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Sawa ila Magufuli alikuwa kichaa
 
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Katiba mpya ni muhimu kwa maisha ya sasa.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Kitakuwa ni kiburi au hamasa na ujasiri wa kuibua maovu?
 
Serikali na Takukuru washasema hawana haja naye.
Hiyo ni nusu picha , kuna baadhi ya watu waneza kuwa na kesi naye ,hata sabaya amepata hukumu hiyo kwa makosa amabayo serikali si mlalamikaji.
 
Umeyajua haya baada au kabla Sabaya hajafungwa?
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Which is a good thing

Cheo ni dhamana
 
Baba yake Sabaya alisema wafungwe walime usiku na mchana na wale wavivu wapigwe mateke! Hili suluhu ya gharama ya kuwalisha. Wacha mtoto akatekeleze maagizo ya baba kwa vitendo.
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
 
Sitaki Sabaya awe huru, kapata haki yake. Hofu yangu ni watu kuanza kuwaandama viongozi wa umma kwa kuzusha tuhuma kwa chuki binafsi.
Ni kazi ya mahakama huru kupima ukweli au uongo wa tuhuma zozote zile. Usiwe na wasiwasi mkuu. Kikubwa ni mahakama iwe huru.
 
Kesi yoyote kabla mtu kuhukumiwa inaanzia kwenye tuhuma,upelelezi ndo mtu anakuja kuhukumiwa..so kama kweli itajulikana na kama si kweli itajulikana.
Zinaze hizi
1.Maiti kwenye viroba
2.Kuuliwa kwa akweli ifufuliwe upya
3.Kupigwa risasi tundu lisu
4.Ben saa8,Azory
5......
6......
Shida ni kuwa tuhuma hizo zitakuwa za kweli?
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Kwani huyo sabaya tuhuma zake zilianza kuibuliwa baada ya meko kufa?au ikitokea leo bashite naye akapelekwa mahakamani watu wanaweza shangaa kuwa anaonewa?kwenye maisha haya huwezi kuzui mtu yoyote kukuibulia kesi kama amedhamilia, ndio maana sheria inahitaji ushahidi usioacha shaka, ili kumtia mtu hatiani!!!yaani mimi kama nakuchukia wewe niibuke tu, basi kesi zisingetosha mahakamani!!Jinai haina kikomo, wewe ukiwa na cheo ukatesa watu,na ushahidi ukakusanywa ni suala muda tu, hata kama mteule wako anakulinda kwa wakati huo, ipo siku tu.na ndio maana kwa awamu wa 5, kuna watu waliwaambia jamani huyo anayewaamulisha ana kinga, kikatiba, ila nyie wengine ipo siku mtajibu tu!!!mfano yule comedian Chalamila, si unaona licha ya kupigwa chini sasa nani ana muda naye, yupo na maisha yake yenye amani tu, tena tulizoea viongozi wengi kuwa na tuhuma, za ufisadi lakini hili la ujambazi wa kutumia siraha ni jipya kwetu kwa DC?!!
 
😁😁😁
PeH_.jpg
 
Back
Top Bottom