Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Wewe si ulikuwa kundi la kusifu na kuabudu na hukuwa miumini wa mabadiliko ...na ulishadidia Sana kuteswa watu Bila dhamana ...
Mimi ni supporter mkubwa wa Samia, napenda aina ya utawala wake! Kwa upande mwingine mimi ni mpinga Jiwe, sijawahi penda aina ya utawala wake since akiwa waziri, watu wa masifa masifa especially wakiwa mbele za watu huwa naamini ni watu dhaifu sana kiuongozi! Sina chama chochote cha siasa ninachokishabikia/kukipenda! 2015 nilimuunga mkono na kumpigia kura Edo, siku anaenda kuchukua na kurudisha fomu Ufipa nilikuwepo, ni mmojawapo tuliyekuwa tunakimbia na gari lake, Mlimani City wakati anapitishwa na baraza kuu nilikuwepo, 2020 nilimuunga mkono Lissu, japo hii miezi 6 ya mother ananikera sana
 
IMG_1450.jpg
 
Nazn wananchi sisi tumepata muako wa kuonyesha madudu ya viongz wetu

Na si visingizio Tuu , muweka mada tuhuma kwa kiongoz hazikosekan na ukweli na zauongo japo uongoo husambaa lakn haupimiki kbsa na hauthibiti wafanye kaz kutokan na sheria wasiogope maneno maneno
 
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Kwa mtu kama Ole njia ya kuokoa gharama ni kumminya mbegu zake za chini adi afe kama jinsi walivokua wakiwafanyia raia wengine. ...Bado Akina Bashite wanazungusha bodi tu....!!
 
Dogo alipiga watu misumari ya miguu kama Yesu alivyofanyiwa!, alijiona yupo juu ya mawingu wakati kila mtu kaumbwa na Mungu!.

Kuna watu wanajaribu kumtetea wakisema kaonewa. Mungu haonekani lakini matendo yake makuu huonekana siku zote.
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Jamaa 30 hazimtoshi, tunasubiria zingine kaa Kwa kutulia!!
 
Shida ni kuwa tuhuma hizo zitakuwa za kweli?
Kama zitakuwa siyo za kweli basi kesi haitakuwa na nguvu. Hivi wewe unataka ku-suggest kuwa sheria za nchi ziachwe kufuatwa viongozi wanapofanya makosa kwa sababu tu siku za zijazo watu wanaweza kutumia huo mwanya kukomoa viongozi? NB: Ndiyo maana watu wenye weledi wanadai katiba mpya ili mahakama ziwe huru kuhumu bila kukomoa
 
Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.

Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.

Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.

Stay tuned.
Kwani mkuu, unateseka na hii hukumu?? Tulia na uwe neutral utaujua ukweli na ubaya wa matendo ya Sabaya.
 
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.

Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.

Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.

Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Pia unasahau lengo lingine la adhabu ya kifungo ni kutoa onyo kwa wengine wasifanye makosa kama hayo. Adhabu ikiwa ndogo haitaweza kufikisha lengo linalostahili. Ili kuyarekebisha mambo mengi yasiyofaa, ndiyo maana kuna haja ya kuiangalia KATIBA yetu na hivyo KATIBA MPYA haikwepeki.
 
Back
Top Bottom