Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.
Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.
Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.
Stay tuned.
Sawa ila Magufuli alikuwa kichaaWadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.
Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.
Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.
Stay tuned.
Katiba mpya ni muhimu kwa maisha ya sasa.Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.
Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.
Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.
Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Kitakuwa ni kiburi au hamasa na ujasiri wa kuibua maovu?Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.
Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.
Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.
Stay tuned.
Hivi alikuwa huko?Wewe si ulikuwa kundi la kusifu na kuabudu na hukuwa miumini wa mabadiliko ...na ulishadidia Sana kuteswa watu Bila dhamana ...
Wasiwasi wangu ndio huoBado Makonda,jinai haifi ipo siku yake naye atafurahishwa
Serikali na Takukuru washasema hawana haja naye.Kama ukutenda uhalifu kwann uogope.
Zamu ya makonda sasa
Kama tuhuma zitakuwa za uongo mahakama itatupilia mbali mashtaka hayo,Shida ni kuwa tuhuma hizo zitakuwa za kweli?
Sitaki Sabaya awe huru, kapata haki yake. Hofu yangu ni watu kuanza kuwaandama viongozi wa umma kwa kuzusha tuhuma kwa chuki binafsi.Freed Freed umepata majibu bila shaka. Sabaya hasafishiki Mkuu.
Hiyo ni nusu picha , kuna baadhi ya watu waneza kuwa na kesi naye ,hata sabaya amepata hukumu hiyo kwa makosa amabayo serikali si mlalamikaji.Serikali na Takukuru washasema hawana haja naye.
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.
Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.
Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.
Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Double standard hio,wamwachie na Sabaya basiSerikali na Takukuru washasema hawana haja naye.
Which is a good thingWadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.
Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.
Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.
Stay tuned.
Mimi nadhani kunahaja ya kupitiwa upyaa adhabu za kifungo.
Lengo la kumfunga mtu ni kumrekebisha au kujirekebisha tabia.
Pia, kumtunza mfungwa ni gharama kwa pande zote, Serikali, mfungwa na familia.
Mbaya zaidi ni pale mfungwa wa muda mrefu anapomaliza kifungo akiwa Hana nguvu tena za kupambania maisha yake na familia yake. Anakuwa Mzigo wa jamii.
Nadhani tugande katika kumrekebisha tabia na si muda wa kukaa gerezani.
Ni kazi ya mahakama huru kupima ukweli au uongo wa tuhuma zozote zile. Usiwe na wasiwasi mkuu. Kikubwa ni mahakama iwe huru.Sitaki Sabaya awe huru, kapata haki yake. Hofu yangu ni watu kuanza kuwaandama viongozi wa umma kwa kuzusha tuhuma kwa chuki binafsi.
Amejitoa broHivi alikuwa huko?
Shida ni kuwa tuhuma hizo zitakuwa za kweli?
Kwani huyo sabaya tuhuma zake zilianza kuibuliwa baada ya meko kufa?au ikitokea leo bashite naye akapelekwa mahakamani watu wanaweza shangaa kuwa anaonewa?kwenye maisha haya huwezi kuzui mtu yoyote kukuibulia kesi kama amedhamilia, ndio maana sheria inahitaji ushahidi usioacha shaka, ili kumtia mtu hatiani!!!yaani mimi kama nakuchukia wewe niibuke tu, basi kesi zisingetosha mahakamani!!Jinai haina kikomo, wewe ukiwa na cheo ukatesa watu,na ushahidi ukakusanywa ni suala muda tu, hata kama mteule wako anakulinda kwa wakati huo, ipo siku tu.na ndio maana kwa awamu wa 5, kuna watu waliwaambia jamani huyo anayewaamulisha ana kinga, kikatiba, ila nyie wengine ipo siku mtajibu tu!!!mfano yule comedian Chalamila, si unaona licha ya kupigwa chini sasa nani ana muda naye, yupo na maisha yake yenye amani tu, tena tulizoea viongozi wengi kuwa na tuhuma, za ufisadi lakini hili la ujambazi wa kutumia siraha ni jipya kwetu kwa DC?!!Wadau hii hukumu sio ya kawaida. Narudia sio ya kawaida.
Hukumu hii yaweza kuibua kesi hata za kutengenezwa tu ili kuwakomoa wateule wa awamu ya Magufuli na hata wa Rais Samia. Ni suala la muda tu.
Wananchi wa kawaida wanaweza kutumika au hata watu maarufu kutumia mwanya huu kutekeleza azma zao. Zaweza kuwa kweli au yenye lengo la kukomoana kutokana na hulka ya binadamu kutopendana.
Stay tuned.