Atazuiwa kama Nape enzi zile kuitisha press conferenceDunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Ana haki ya kutumia sehemu yoyote ya Tanzania ili mradi havunji sheria. Tabia ya kijinga aliyokuwa anashabikia Watanzania wenzake kuzuiwa kutumia Uhuru wao kutoa maoni anapaswa aachiwe ili aone madhara ya ujinga aliokuwa anafanya.Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Usi tukane mamba kabla huha vuka mto.Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
jibu unalo mkuu,hukuona Hadi baadhi ya wabunge wenzie wakawa wanamnanga kisa jamaa,hajapepesa macho kasimamia anachoamini na kinachompa faraja hata uraiani!! msimamo humpa mtu heshima !!polepole sio malayamalaya..?
Huyu huwa simsikiliziDunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Afadhari ya Malaya,kuliko change DOA, huyu ni kaka poahuyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).