Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

jibu unalo mkuu,hukuona Hadi baadhi ya wabunge wenzie wakawa wanamnanga kisa jamaa,hajapepesa macho kasimamia anachoamini na kinachompa faraja hata uraiani!! msimamo humpa mtu heshima !!
Anaamini nini?
 
Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.

Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.

Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.

Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.

Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
Umetoka nje ya mada chief!!! Umesoma hata kiliachoandikwa? Mama anaingiaje sasa hapa?
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Si anawalipa? Mbona kumbi zipo nyingi tu acha kupotosha!
 
Hivi huyu jamaa kwanini wanamchekea chekea? Serikali ya "mama YENU" dhaifu hii.
 
Umetoka nje ya mada chief!!! Umesoma hata kiliachoandikwa? Mama anaingiaje sasa hapa?
Nimetoka nje ya mada au wewe ndio umegoma kutoka nje ya box?

Kwanini CCM chini ya mwenyekiti wenu msimpe huo ukumbi?
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui


Ni Hamphrey Lepo lepo??! 😱
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Unauhakika kuwa alikuwa na mkakati huo??!! Unafiki mbaya kujana
 
Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.

Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.

Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.

Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.

Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
1. MADA: Humphrey Polepole ameomba ukumbi pale LHRC ili azungumze na Waandishi wa Habari.
2. MADA MIX: Polepole kaenda kuomba hifadhi kwa wale wale aliokuwa anashiriki kuwakandamiza enzi za Mwendazake!
3. MCHANGIA MADA: Kumbe Rais Samia nae hataki kupingwa!!

OMBI LANGU: Wana-JF ambao wenzangu ni ma-GT, naomba mnisaidie kuelewa hapa manake nimeshindwa kuona uhusiano wowote!!
 
Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.

Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.

Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.

Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.

Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
acha kuropoka usichokijua, polepole kamzuia nani kuropoka ujings wake ambao alikuwa anashangilia watu walivokuwa wanaokotwa kwnye viroba?? kuna mtu amemfungia kutumia jukwaa lake la kujaza waru ujinga??mama hana ushamba wa madaraka kama wasukuma waleeeee, ingekuwa hivo huyo polepole /bashiru na genge lao wangekuwa jela au uhamishoni au wangekuwa washatolewa bastols kama walivomtolea Nape... aache kutapatapa
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Uwe unaandika reasonable fact, sasa nani alikuambia Polepole alitaka kuua mashirika hayo? Alikuwa katibu mwenezi wa chama, huo uwezo wa kuzuia mashirika aliupata wapi? Msiandike kishabiki, muacheni mtoto wa watu.
 
Back
Top Bottom