Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Pole sana Pole pole nilishauri humu ni kheri ungekaa kimya maana credibility yako ni zero kwasasa watu wakiangalia record zako hapo awali na unavyojitutumua sasa hivi wanakupuuza tuu...kaa kimya ukimya wako ni wa thamani kuliko kuongea ongea.
 
Kwa sasa jamaa anapitia nyakati ngumu sana kwenye harakati za kisiasa nchini... kama vile ni mpinzani
Ila inabidi ajifunze ya kuwa mfumo umebadilika kwa kasi hii siyo mfumo wa ujamaa.. hii ni capitalist, magufulisim ilikuwa ni ujamaa mufu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apewe choo ajisaidie akimaliza afanye press conference yake.
Huyo alikuwa bonge la chawa max pro kwa mwendazake.
 
Pole sana Pole pole nilishauri humu ni kheri ungekaa kimya maana credibility yako ni zero kwasasa watu wakiangalia record zako hapo awali na unavyojitutumua sasa hivi wanakupuuza tuu...kaa kimya ukimya wako ni wa thamani kuliko kuongea ongea.
Na hawa credibility ina wahusu au ni pole pole tu?

cdm.jpeg
 
kwanini wale jamaa wasimbinye mapumbu huyu atulie.
CCM imerudi kwa wenyewe
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao, kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Kuwa uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.
Eheee LHRC? Polepole?
huyuhuyu akuyetaka kuyafuta mashirika ya aina hii? Kweli usitukane wakunga uzazi ungalipo?
 
Kinachomuumiza leo Polepole ndio mbegu aliyoipalilia wakati wa Magufuli. Kisu alichokinoa ili kuumiza wapinzani sasa ndio kinamkata yeye. Wala usidhani hatujui tunasimamia nini. Mtu yoyote aliyefanikisha utawala wa mabavu wa Magufuli, hata kama anaonewa tutafarijika, na wala hatuungani na Watesi wetu kuwaunga mkono, bali tunafurahia muosha akioshwa. Kwa taarifa yako huyo Polepole hata aje na hoja ya msingi, sio rahisi kupata uungwaji mkono tena kwa wapenda haki, kwani ni mtu anayetaka huruma ya watu baada ya kukosa ulaji. Hakuna mtu atatumika na muhuni kama hiyo Polepole.
hujasema uongo huyu mtu alikua obsessed na magufuli sana hadi akawa kipofu kuona maovu ya jiwe akiwa anafurahia mateso kwa wengine pamoja na kujipatia fedha nyingi ya chenji wakati wananunua wabunge wa upinzani yeye na bashiru kwa sasa hawko sawa kichwani
 
huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Naunga mkono hoja. Nikimwangalia Pole Pole, na kumsikiliza kwa makini in between the lines, namuona Nyerere!.
 
Back
Top Bottom