Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
HeheheNihuyuhuyu aliesisitiza kwamba LHRC inapewadha na mabeberu...🤓
Mara ngo za mabeberu akiwa kwenye kitu
Baada ya kutoka anaomba press conference kwa ngo za mabeberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheNihuyuhuyu aliesisitiza kwamba LHRC inapewadha na mabeberu...🤓
Ngoja na yeye watafreez account zake ndo atatia akili,, asione watu wanamtizama tu akadhani wamelala,,, wanampimia tu,, soon ataanza kusaka vibarua hata vya kupinda kokoto[emoji23][emoji23]Na walifungia billion 4 za LHRC kwa madai zitatumika kusaidia wapinzani
Pole Pole huyu huyu au? nafikiri umeanza kumjua majui juzi.huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Huyo mdangaji kabisa😂polepole sio malayamalaya..?
Pale ni kwa wanasheria.so ni mahali salama zaidi kwake.sema ajenda bado sijaweza bashiri au anaachia ubunge na kuingia kwenye uanaharakati rasmiDunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.
Ila hii Corona tuishukuru sana imetuondolea kubwa la maaduiNa walifungia billion 4 za LHRC kwa madai zitatumika kusaidia wapinzani
Anabunya kondoo wake tu na kurekodi muvi zake za kungonokaHivi Askofu amepotelea wapi
Msimamo?? Ni huyu tulishirikiana nae kudai Katiba ghafla akatuambia Katiba iliyopo haina shida.. ndio msimamo huo Kaka??huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Laana inawatafuna hawa watu.
Mtu Gani unayemzungumzia wewe ana msimamo? Kama ni huyu Slouli sloule hapana kumbuka yule aliyekuwa kwenye tume ya walioba na huyu wa unaijua vieiti? Wewe unaona wako sawa?huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.
Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.
Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.
Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.
Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake uumiza wengine kwa vitu vidogo.
Kijitu cha hovyo kabisa, anadhani atatikisa dola, noo! Yeye ndiye atatikisika na kung'oka mizizi
huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Kwa mara ya pili, umeingia lini mjini?jibu unalo mkuu,hukuona Hadi baadhi ya wabunge wenzie wakawa wanamnanga kisa jamaa,hajapepesa macho kasimamia anachoamini na kinachompa faraja hata uraiani!! msimamo humpa mtu heshima !!
Matusi ya nini? Huo ukumbi si atalipia?Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.
Kama Polepole hakujifunza kwa Membe, Lowasa, Sumaye, Nape, Makamba basi usitarajie na wao walio madarakani watajifunza kwa Polepole. Huyo alikuwa muovu tena aliyekuwa akijisifu kwa naibu hayo.Kwa maoni yangu hawa wenye madaraka/mamlaka kwa sasa wajifunze kwa Polepole kwamba "Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha"