Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Ila pole pole mwanaume, hata Kama ni mnafiki Ila wenzie ndo wanafiki zaidi kina nape, ummy, etc
 
Ujinga ni kwamba ,Wana CCM huwa hawajui kama Dunia inazunguka, uliyemfinya jana leo unaweza mkuta ndio mwenye daraja unapotaka kuvuka
 
Ndio umejigeuza msemaji wa nani sasa? Samia au?

Rudi kule juu soma kila nilichoandika uelewe, usikimbilie kuni quote tu, unaoleta hapa ndio ushabiki nilioukemea kule juu.
Unamkemea nani sasa? Jikemee mwenyewe na mkurupuko wako! Hakuna popote Polepole kazuiwa kufanya hiyo press yake, yeye mwenyewe kaamua kuchagua hiyo sehemu aliyochagua! Hata kwenye tweet yake kaandika hivyo! Naona uliposoma kichwa cha habari na kuona neno "hifadhi" ukakurupuka tu na mgazeti
 
Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.

Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.

Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.

Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.

Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.

Umemaliza, nchi inatengezwa kwenye makundi badala ya kuwaunganisha wote.

Kazi ya Rais ni kuunganisha nchi wapinzani, watu waliompenda Magufuli, Wamachinga na matajiri, wafanyabiasharavna wakulima, Tanzania bara na visiwani. Yeye kwa sera zake, maneno yake anafanya kinyume chake.

Anajenga makundi, matabaka, hatari sana.
 
Ila pole pole mwanaume, hata Kama ni mnafiki Ila wenzie ndo wanafiki zaidi kina nape, ummy, etc
Huyu ni Mr. Maslahi Binafsi!! Alikuwa anaongea sana wakati wa JK kwa sababu hakuwa kwenye meza ya chakula lakini alipokaribishwa mezani na Magu, akasiliti misimamo yake yote na kuja kuibuka wakati wa SSH baada ya kupokonywa tonge!

Huyo Nape nadhani mnajisahaulisha tu!! Nape alipishana na Makonda huku akifahamu wazi kwamba Makonda ni Mtoto wa Mfalme!! Pamoja na hayo, Nape akaunda tume ya kumchunguza Mwana Mfalme. Wakati Nape anaunda tume kumchunguza Mwana Mfalme, JPM akamuita Makonda kwenye event moja pale Ubungo (siikumbuki vizuri) na akapewa Jukwaa na Rais!! Hatua ile ya Magu kutoa jukwaa kwa Makonda wakati ameundiwa tume ilikuwa ni ujumbe tosha kwamba "don't mess with Golden Boy" lakini bado Nape akaendelea na msimamo wake wa kumchunguza Makonda!

Na hata ukisoma tweets za Nape siku chache kabla ya kufutwa kazi, inaonesha wazi alishafahamu messing with Golden Boy kungem-cost!!

Twitter.png
Hizo tweeets ni za March 21, na March 22 akapokea ripoti ya tume aliyounda na akaisoma hadharani! March 23, akatumbuliwa!!! Sikubaliana na Nape kutokana na misimamo yake kisiasa lakini kusema Polepole ana misimamo kuliko Nape, hapana mzee! Polepole ndo kubwa la Manafiki!! Yule leo akipewa cheo, utamshangaa!!
 
Unatumia dola kubaki kwenye dola. Hivi yule mtu anayetumia dola kubaki kwenye dola Yuko wapi?

Wachagga Wana msemo usemao. Siku ukiwa unatafuna nyama usifungue mdomo watu wakaona unakula nyama. Wewe bugia nyama yako taratibu ili hata kesho ukitafuna makande na kufunga mdomo watu watajua huyu Charlie ndio zake.
Jimtu limetolewa huko sijui jalalani (Ni maneno yao wenyewe) halafu anajifanya Yuko ABOVE THE LAW. Hajui kwamba KARMA is real
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.
Vieite yake atakwenda nayo!!? Nataka nikaishangae
 
Huyu ni Mr. Maslahi Binafsi!! Alikuwa anaongea sana wakati wa JK kwa sababu hakuwa miongoni mwa wenye ulaji lakini alipopewa ulaji na Magu, akasiliti misimamo yake yote na kuja kuibuka wakati wa SSH baada ya kupokonywa tonge!

Huyo Nape nadhani mnajisahaulisha tu!! Nape alipishana na Bashite huku akifahamu wazi kwamba Bashite ni Mtoto wa Mfalme!! Pamoja na hayo, Nape akaunda tume ya kumchunguza Mwana Mfalme. Wakati Nape anaunda tume kumchunguza Mwana Mfalme, JPM akamuita Makonda kwenye event moja pale Ubungo (siikumbuki vizuri) na akapewa Jukwaa na Rais!! Hatua ile ya Magu kutoa jukwaa kwa Makonda wakati ameundiwa tume ilikuwa ni ujumbe tosha kwa Nape dhidi ya Golden Boy lakini bado Nape akaendelea na msimamo wake wa kukumchunguza Makonda! Na hata ukisoma tweets za Nape siku chache kabla ya kufutwa kazi, inaonesha wazi alishafahamu messing with Golden Boy would make him lose his job!!

Hizo tweeets ni za March 21, na March 22 akapokea ripoti ya tume aliyounda na akaisoma hadharani! March 23, akatumbuliwa!!! Sikubaliana na Nape kutokana na misimamo yake kisiasa lakini kusema Polepole ana misimamo kuliko Nape, hapana mzee! Polepole ndo kubwa la Manafiki!! Yule leo akipewa cheo, utamshangaa!!
Yupo anatokota kwenye chungu kama makande, laana ya kumgeuka Mzee Warioba na kusema ile rasimu haikuwa ya tume ila ya Warioba na jamaa zake
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.

Ameshapata kibali cha polisi ?
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo Lumumba wala Dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui.
Mamlaka zimdhibiti huyu kunguru mapema.
 
Ana haki ya kutumia sehemu yoyote ya Tanzania ili mradi havunji sheria. Tabia ya kijinga aliyokuwa anashabikia Watanzania wenzake kuzuiwa kutumia Uhuru wao kutoa maoni anapaswa aachiwe ili aone madhara ya ujinga aliokuwa anafanya.
Anapaswa kuzuiwa...
 
Yupo anatokota kwenye chungu kama makande, laana ya kumgeuka Mzee Warioba na kusema ile rasimu haikuwa ya tume ila ya Warioba na jamaa zake
Yaani jamaa alikuwa nusu waziri mkuu, nusu makamu wa rais, robo rais!!
 
Back
Top Bottom