Anaamini nini?jibu unalo mkuu,hukuona Hadi baadhi ya wabunge wenzie wakawa wanamnanga kisa jamaa,hajapepesa macho kasimamia anachoamini na kinachompa faraja hata uraiani!! msimamo humpa mtu heshima !!
Umetoka nje ya mada chief!!! Umesoma hata kiliachoandikwa? Mama anaingiaje sasa hapa?Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.
Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.
Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.
Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.
Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
Huyu jamaa alisisitiza kuwa hatuhitaji wakuu wa wilaya, baadaye akateuliwa kuwa mkuu wa wilaya akakubali.huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Si anawalipa? Mbona kumbi zipo nyingi tu acha kupotosha!Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Nani aone aibu...😕Mwisho wa ubaya aibu.
Nihuyuhuyu aliesisitiza kwamba LHRC inapewa fedha na mabeberu...🤓Huyu jamaa alisisitiza kuwa hatuhitaji wakuu wa wilaya, baadaye akateuliwa kuwa mkuu wa wilaya akakubali.
Kwani upinzani ni uhaini?Na walifungia billion 4 za LHRC kwa madai zitatumika kusaidia wapinzani
Nimetoka nje ya mada au wewe ndio umegoma kutoka nje ya box?Umetoka nje ya mada chief!!! Umesoma hata kiliachoandikwa? Mama anaingiaje sasa hapa?
Amekuambia kaomba ukumbi kanyimwa? Acha kukurupukaNimetoka nje ya mada au wewe ndio umegoma kutoka nje ya box?
Kwanini CCM chini ya mwenyekiti wenu msimpe huo ukumbi?
Mkitwangwa ohh Rais dikteta, mkiachiwa huru muongee upuuzi wenu ohh Rais dhaifu!!!! Mnataka nini nyinyi watu?Hivi huyu jamaa kwanini wanamchekea chekea? Serikali ya "mama YENU" dhaifu hii.
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
Ndio umejigeuza msemaji wa nani sasa? Samia au?Amekuambia kaomba ukumbi kanyimwa? Acha kukurupuka
Unauhakika kuwa alikuwa na mkakati huo??!! Unafiki mbaya kujanaDunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui
1. MADA: Humphrey Polepole ameomba ukumbi pale LHRC ili azungumze na Waandishi wa Habari.Kumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.
Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.
Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.
Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.
Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
acha kuropoka usichokijua, polepole kamzuia nani kuropoka ujings wake ambao alikuwa anashangilia watu walivokuwa wanaokotwa kwnye viroba?? kuna mtu amemfungia kutumia jukwaa lake la kujaza waru ujinga??mama hana ushamba wa madaraka kama wasukuma waleeeee, ingekuwa hivo huyo polepole /bashiru na genge lao wangekuwa jela au uhamishoni au wangekuwa washatolewa bastols kama walivomtolea Nape... aache kutapatapaKumba mama nae hataki kupingwa, naona ile kauli yake hatakubaki makosa ya awamu zilizotangulia atupiwe yeye imeanza kufanyiwa kazi kwa vitendo, akiongea na majirani anawalegezea sauti, akirudi kwa wapinzani wake ndani anawatumia wahuni kuwawinda.
Kama ofisi ya urais imemshinda vyema airudishe kwa watanzania kwa wenyewe uitishwe uchaguzi mkuu mwingine maisha yaendelee, Polepole anatumia haki yake kisheria kutoa maoni yake anatakiwa kujibiwa kwa hoja sio vinginevyo.
Naona wengi mnamsema Polepole badala mjiulize atakaefuatia kuwindwa atakuwa nani, alianza Mbowe, leo Polepole, kesho atakuwa nani? ajabu ushabiki umetawala vichwa vya wengi, hapa habari sio sukuma gang vs msoga au Chadema, hao wote ni watanzania, msitengeneze makundi ya kijinga ndani ya hii nchi bila kujua athari zake.
Samia ajue anajukumu la kuongoza wote kwa kufuata sheria za nchi sio kwa maoni au mapenzi yake binafsi, asitake kila mmoja ajipendekeze kwake hata kama hana sababu ya kufanya hivyo, atulie ajue namna ya kuongoza nchi.
Sio atuambie yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike, haya maneno yalitakiwa kutumika enzi za wakoloni, asishindane na wasioshindana nae wala asitumie mamlaka yake kuumiza wengine kwa vitu vidogo.
Kweli huyu jamaa amefanana na steering wa movie the gods must be crazyHumphrey Polepole a.k.a Bushman from GODS MUST BE CRAZY ame loose dignity
Uwe unaandika reasonable fact, sasa nani alikuambia Polepole alitaka kuua mashirika hayo? Alikuwa katibu mwenezi wa chama, huo uwezo wa kuzuia mashirika aliupata wapi? Msiandike kishabiki, muacheni mtoto wa watu.Dunia hadaa ulimwengu shujaa, humphrey na kundi lake la mwendazake walikuwa na mkakati maalum wa kuua mashirika yanayopigania haki za binadamu, walifikia hata kufunga akaunti zao,kesho kaomba ukumbi afanye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)....kua uyaone, si maghorofa, hana tena fursa ya kutamba katika kumbi za ofisi ndogo lumumba wala dodoma, anaombeleza kumbi kwa watu aliowatangazia uadui