Humphrey Polepole aomba ukumbi wa LHRC afanye mkutano na waandishi wa habari Desemba 11

Na walifungia billion 4 za LHRC kwa madai zitatumika kusaidia wapinzani
Ngoja na yeye watafreez account zake ndo atatia akili,, asione watu wanamtizama tu akadhani wamelala,,, wanampimia tu,, soon ataanza kusaka vibarua hata vya kupinda kokoto[emoji23][emoji23]
 
Ubunge wake utenguliwe, hatufai kwenye chama chetu
 
Pale ni kwa wanasheria.so ni mahali salama zaidi kwake.sema ajenda bado sijaweza bashiri au anaachia ubunge na kuingia kwenye uanaharakati rasmi
 
huyu jamaa namkubali sana.mtu mwenye msimamo NI heri,kuliko Yule ambae ana siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice).
Mtu Gani unayemzungumzia wewe ana msimamo? Kama ni huyu Slouli sloule hapana kumbuka yule aliyekuwa kwenye tume ya walioba na huyu wa unaijua vieiti? Wewe unaona wako sawa?
 

Kinachomuumiza leo Polepole ndio mbegu aliyoipalilia wakati wa Magufuli. Kisu alichokinoa ili kuumiza wapinzani sasa ndio kinamkata yeye. Wala usidhani hatujui tunasimamia nini. Mtu yoyote aliyefanikisha utawala wa mabavu wa Magufuli, hata kama anaonewa tutafarijika, na wala hatuungani na Watesi wetu kuwaunga mkono, bali tunafurahia muosha akioshwa. Kwa taarifa yako huyo Polepole hata aje na hoja ya msingi, sio rahisi kupata uungwaji mkono tena kwa wapenda haki, kwani ni mtu anayetaka huruma ya watu baada ya kukosa ulaji. Hakuna mtu atatumika na muhuni kama hiyo Polepole.
 
Kijitu cha hovyo kabisa, anadhani atatikisa dola, noo! Yeye ndiye atatikisika na kung'oka mizizi

Hatuwaungi mkono hiyo dola ya kunyima haki za watu, bali tuna furaha ya ajabu huyo Polepole kukutana na ukandamizaji alioona sawa wengine kufanyiwa kipindi cha utawala wa kidhalimu wa Magufuli.
 
jibu unalo mkuu,hukuona Hadi baadhi ya wabunge wenzie wakawa wanamnanga kisa jamaa,hajapepesa macho kasimamia anachoamini na kinachompa faraja hata uraiani!! msimamo humpa mtu heshima !!
Kwa mara ya pili, umeingia lini mjini?
 
Matusi ya nini? Huo ukumbi si atalipia?
 
Kwa maoni yangu hawa wenye madaraka/mamlaka kwa sasa wajifunze kwa Polepole kwamba "Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha"
Kama Polepole hakujifunza kwa Membe, Lowasa, Sumaye, Nape, Makamba basi usitarajie na wao walio madarakani watajifunza kwa Polepole. Huyo alikuwa muovu tena aliyekuwa akijisifu kwa naibu hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…