Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

CCM wote mnaokosa fursa ndio mlivyo, hata nape na January walitoswa na jiwe walianza nongwa.
Mjifunze nyie watu wa ccm
Usinijumuishe,mimi sijafungwa nyororo na chama chochote ndio maana nakosoa na kupongeza kadri ninavyoona inafaa.
 
Polepole Yuko sahihi maana tunaelekea kwenye shimo la ukabila tena refu kwelikweli
 
Angekuwa smart hata kidogo angefahami Tanzania ina dini zaidi ya hizi mbili za Ukristo na Uislamu, wapo Wahindu, Wabudha n.k pia wapo wasiokuwa na dini kabisa.
Wewe katika maisha yako uliwahi kukutana na mBudha wapi?
 
Wanafiki katika ubora wao, Angekuwa ni hayati JPM anayafanya haya wala wasingefungua midomo yao.
 
Leo mkiwapa nguvu Machifu na Watemi pia tuwe tayari kupoteza baadhi ya vita kama vita dhidi ya Ukeketaji wa Watoto wa kike, Chanjo, Ndoa za wake wengi , kurithi Wake, Ndoa za utotoni, Nafasi ya Wanawake kurithi mali au kufanya maamuzi, matambiko, marufuku za kimila kama usioe kule, kutelekeza/kuua Mlemavu n.k.

Hebu mtuambie ni mila ngapi mnataka zidumishwe na zipi zitokomezwe...nina wasiwasi tunataka kuwasha moto utakaotushinda kuuota.

Hao Machifu na Watemi ndio walikuwa Waanzilishi wa vita dhidi ya kabila na kabila au koo na koo...sasa siku kunachafuka Kijijini utampeleka DC akaongee na Jamii inaomuamini Chifu wao kuliko Mtu mwingine?.

Mpaka wa leo kuna imani za kishirikina nyingi tu zinazoonekana zinatushinda nguvu na Watu wanauana hovyo kila kukicha...leo Machifu wakitaka kudumisha mila na sheria zao mtawadhibiti vipi?.

Itafika mahali Jamii haitojua imsikilize Chifu wa kabila lake au Serikali/Mtaalamu.
 
Kila afanyacho Rais kwake polepole ni kibaya tu, polepole unataka nini?. Umefanyika uhuni tu ukapewa ubunge bado huridhiki unataka nini?. Acha ulafi sio wewe tu unapaswa kuwa kiongozi kubali yaishe huo ndio uungwana yasijeyakakupata ukapoteza hata huo umaarufu mdogo ulionao. Urais ni taasisi kubwa acha kushindana nayo.
 
Polepole unaweza kuwa na point nzuri nyingi tu, ila uwanja (room) wa kuisema CCM hauna na hapa ndipo wasiwasi wangu ulipo.
 
He is right! Ukiwadekeza wanasiasa wataturudisha kwenye upumbav! Machifu wapo, wapo wapi? Kwa kazi ipi? Ni hivi hivi kwa tamaa za kupata kila kura na kuungwa mkono, ulaya na US walijikuta wanashambikia ushoga. Siyo kila kitu kilichopo kinastahili kushabikiwa na serikali.
 
Uchifu mafiiii
 
Mama Samia nyie huyu hapo ubunge vitimaalumu akose mbwa huyo
 
Taifa lako wewe na nani? Mkuu utahamishiwa Burundi
 
Ujinga huu unaoandika hapa wa kumuabudu mwenyekiti wa chama, ndio hasa kiu yetu kwamba uishe hapa Tanzania
Chama ni jumuia ya wengi, haiwezekani mmoja afanye Jambo na wote mulibebe eti ni mwenyekiti kaamua,
No sense!
Maamuzi ya chama yanafanywa na chama, sio mwenyekiti wa chama!
Polepole sio mbumbumbu, analijua hilo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…