Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

Acha uongo wewe. Polepole atumwe na mama kuropoka huo ujinga anaoropoka? Are you serious? Hakuna kitu kama hicho.

Polepole anaendesha harakati za uasi kwa serikali ya awamu ya sita kuseek attention ya watanzania wasiojitambua na kujaribu kumtisha mama ili akumbukwe..hana lolote la maana.

Hizo sera za kikomunist anaohubiri kwa Dunia ya leo ni kujilisha upepo tu!
 
Elewa Mama anahitaji support kotekote. Nina uhakika anaungwa mkono na Mama Samia. Fuatilia vizuri, Mh. Polepole anaongelea hoja na hamshambulii mtu na Mama ni mzalendo wetu, na Mh Polepole anamsafishia njia.
 
Nadhani uliwahi kuiona picha ya Polepole akimchungulia kwa umakini Mama Samia akimpiga jicho kama vile anataka kujipendekeza kwake, siku ile ya uapisho wa kwanza kabisa wa mawaziri.

Mpiga picha aliyelinasa lile tukio atakuwa ni wa kimataifa, kwani aliweza kuunasa unafiki ukisomeka machoni moja kwa moja machoni mwa watu.
 
Yaani huyu mama hotuba hazina ushawishi kabisa kamaanasoma gazeti haijulikani jambo gani katoa maagizo na jambogani kasherehesha
 
Huyo magufuli aliye kuwa anawadanganya mchana halafu usiku anakopa? Hebu jiulize alikuta deni Tsh ngapi na akaliacha Tsh ngapi halafu uje useme hapa alikuwa hakopi au laa! kadanganya sana wajinga yule mzee
Dikteta muuaji lilikopa matilioni ya fedha
 
We mleta mada ndio mnafiki na mzandiki number moja, mama kafungulia nchi mwache pole pole aongee sababu yupo free, alafu kingine tuu nikuambie mtaani polepole tunamuelewa sana huwezi amini.
mna chuki na Samia,na Rais Samia atahakikisha anapiga chini mabaki yote ya wasaliti kwenye serikali yake,nyie viumbe hamna shukrani
 
Hakuna rais yoyote kutoka ccm atakae weza kubadili maisha ya watanzania
Kwasababu ccm ilisha laaniwa na Muumba wa nchi
Ccm ni chama kilicho oza kinahitajika kuzikwa kabisa Kama tulivyo mzika hy jiwe wenu
 
Hivi deni la Taifa la nje liliongezeka wakati wa JPM baada ya kuanza kulipa au kukopa pesa za mabeberu?
 
Huna hoja yoyote wewe pimbi,mmebaki kujipendekeza tu kwa hiyo bibi yenu ambaye kapoteza mvuto
 
Habari za mikopo si utueleze wewe pimbi,unakuja kumuuliza polepole habari za madeni ya Magufuli badala wewe ndo useme ile sisi tukupinge kwa data,pumbavu sana
 
Huyo magufuli aliye kuwa anawadanganya mchana halafu usiku anakopa? Hebu jiulize alikuta deni Tsh ngapi na akaliacha Tsh ngapi halafu uje useme hapa alikuwa hakopi au laa! kadanganya sana wajinga yule mzee
we kilaza kweli,hakulipa madeni yaliyokopwa na wenzie,kiufupi hakuwahi kupeleka malejesho ya mikopo waliyokopa wenzie,kwa kawaida muulize mkeo kwenye vikoba ni mzoefu,nn hutokea usipopeleka lejesho la mkopo kwa wakati,Kuna faini plus riba ,lazma figure za Deni ziongezeke!!
 
We mleta mada ndio mnafiki na mzandiki number moja, mama kafungulia nchi mwache pole pole aongee sababu yupo free, alafu kingine tuu nikuambie mtaani polepole tunamuelewa sana huwezi amini.
Mtaani Polepole watu wanamuelewa na hiki ndo kinachowaudhi
 
Kweli kabisa! Huwezi kuwa MTU wa kulialia halafu utegemee mafanikio!
 
Nyie wafuasi wa Samia ndo mnataka kushindanisha Magufuli na Samia,bila kujua mnampoteza huyo bibi yenu,mpaka watu wanaanza kupata imani ya mambo yanayongelewa mtaani kwamba Samia alifanikisha kifo cha Magufuli,mwambieni Makamba na Team yake waache ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…