Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Mimi naelewa aliwahi kusoma o-level Azania akapata matokeo ya mwisho kabisa awezayo kupata mtahiniwa.
Alipata div 0 form 6,benjamin william mkapa high school
dah!
hizi fitna, kwa kijana anayependa chama cha wazee, qt zipo inawezekana kuungaunga mwana ukatokea mbele.....

" Natambua kua ana shahada ya maendeleo ya jamii alikua anahangaikia ya pili sijui ameshamsliza au laa"
 
mtoa mada ungeanza na CV yko ingekua poa sana
maana ulaya na China watu wa rika yko wako busy kubuni miundombinu ya maendeleo we upo busy unatafta CV ya pole pole
Na wewe kabla haujachangia mada Na wewe ungenza Na CV.
 
CV YA JINIAS WA UKAWA KAMANDA MBOWE
=========================================
============================================
Cv ya freeman mbowe hii hapa
Member of Parliament CV

GENERAL
Salutation
Honourable Member picture
1260.jpg

First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School Name/Location
Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position From Date To Date
Bank of Tanzania Bank Officer -

Umefurahi kwa kuandika ujinga?
 
Alipata div 0 form 6,benjamin william mkapa high school
Hivi hii kitu ni kweli mkuu maana sijafanikiwa kuona matokeo ya huyu bwana mkubwa, ila kama kuna ukweli basi Chadema kina hitaji maombi ili kifike kinakotaka kwenda.
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
".......kama samaki mmoja akioza wote wameoza..,basi mwanaume mmoja akiwa shoga wote mashoga.."-Livingstone Lusinde
 
Kwanza kabla ya kumlinganisha MTU na mwalimu Nyerere ujue sifa zake zilikuwa zipi,
1. Kujisimamia
2. Kujenga hoja
3. Kumwambia MTU ukweli bila kujali nguvu yake ya pesa au cheo,

Nayaona hayo katika Humphrey Polepole, yaweza isiwe Leo au kesho ila Polepole ni aina ya watu wanaohitajika kuongoza nchi au kundi lolote la watu,
Tupitie michango yake mbali mbali kupitia video, please angalia videos kwanza ndo upate cha Ku comment
1. ITV


2. Mabadiliko aliyosema mwalimu


3.

4.kabla ya kura za maoni CCM ilikuwa tarehe 5/6/2015 ITV



5. UCHAMBUZI JUU YA LOWASSA


6. Juu ya wagombea au watia nia wote wa CCM 16-4-2015
 
Mimi mtazamaji tu maana toka apewe ukuu wa wilaya kaufyata kimya....hutamuona tena kwenye hizo media

Njaa mbaya sana
 
Jamani muacheni baba wa watu apumzike kwa amani!!!! Mifano mingine mtafanya mpaka marehem afufuke halafu afe tena.... Heeeee!!!!
 
Anaye ona Polepole anafaa hata kuongoza KATA akapimwe akili
Polepole ni mla rushwa mkubwa ambaye yupo tayari kubadili msimamo wake ili tumbo lake lishibe
Mchakato wa katiba mpya umemtia sana aibu DC Polepole
 
Humphrey PolePole ni Mchumia tumbo na Mnafiki.

Alisema katika nchi hii hakuna haja ya kuwa na Mkuu wa Wilaya halafu mwishoni akachaguliwa kuwa mkuu wa wilaya na kuapa kwa furaha zote.

Kumfananisha huyu na Mwl. J.K Nyerere ni DHAMBI.
 
Mnhh labda kawa soksi za mwalimu au amekuwa kiwi ndio maana unamuona kwenye viatu vya mwalimu, by the way nyerere ashakufaa na hatokuja kama yeye hadi mwisho wa duniaaaa
 
Mnhh labda kawa soksi za mwalimu au amekuwa kiwi ndio maana unamuona kwenye viatu vya mwalimu, by the way nyerere ashakufaa na hatokuja kama yeye hadi mwisho wa duniaaaa
Kwa ufupi hawezi lingana na mwalimu kwa chochote... Sio soksi wala leso. kelele zote zile leo gafla mtu kimya? Ni mtetezi wa nani huyo kama sio tumbo lake
 
Huyu niliemuuliza swali twitter akapotea hakujibu wala hajulikani ndie mnamfananisha jk Nyerere acheni utani basis..
 
Back
Top Bottom