Kumbe darmpya blog la wapuuzi , acheni uchonganishiAnti-Samia government, Comrade Polepole anazidi kujibebea point
Tazama hapa
Angekuwa mzalendo angemshauri mwenda zake kuhusu umuhimu wa katiba mpyaSafi sana Polepole huo ndio uzalendo wa kweli acha ule wa mdangaji wa wazungu Lisu wa kupinga kila kitu
the luxurious life he was so afraid to lose.He got a point... yes yes..
But what made him silent for the past 6 years?
Huyu Polepole keshachanganyikiwa, hili darasa lake kwanini hakufundisha enzi ya utawala kandamizi wa Dikteta Magufuri wakati yeye alikuwa sehemu ya utawala huo? Kucha alikuwa akisifu ukandamizaji aliokuwa akiufanya Magufuri na kumuita mzalendo. Polepole anapaswa kufahamu kila zama na nyakati zake. Kwanza hatoaminika tena sababu enzi ya katiba ya warioba, enzi ya Magufuri na sasa mama samia anabadilika kimsimamo kama kinyonga. Namshauri akae kimya wenye CCM yao wamesharudi yeye ajiandae kutafuta kazi ya kufanya muda si mrefu atafukuzwa uanachama na kupoteza ubungeAnti-Samia government, Comrade Polepole anazidi kujibebea point
Tazama hapa
Kweli kabisa✔Kweli dunia ni duara. Enzi za nyuma walikuwa kinara wa kufungia mitandao, na kuwapa kesi watu wanaoikosoa serikali.
Ingawa kaongea jambo la msingi, ila ni vizuri kusimamia haki tokea mwanzoni na sio kusubiri mpaka mambo yabadilike na kuona ametengwa na serikali mpya, ndo unaanza kupambania haki.
Hii iwe fundisho kwa wanasiasa wengine, watende haki wanapokuwa na mamlaka kwani inamanufaa kwa wote. Hata siku ambapo watakuwa hawashiki mpini tena, bado itawasaidia. Na sio kukumbuka shuka wakati kumekucha.
Njaa tu inamsumbua huyo PP wenu.Safi sana Polepole huo ndio uzalendo wa kweli acha ule wa mdangaji wa wazungu Lisu wa kupinga kila kitu
Sahihi kabisa, Wahenga walisema " mfa maji haachi kutapatapa" . Haya yote yanatokea sababu anakumbuka alivyokuwa akiogopwa na wabunge, Rcs, DC na hata mawaziri, kwa raha alizokula. Nashauri kamati kuu imtimue uanachama kabisa aje huku mtaani tummalize kabisaKweli dunia ni duara. Enzi za nyuma walikuwa kinara wa kufungia mitandao, na kuwapa kesi watu wanaoikosoa serikali.
Ingawa kaongea jambo la msingi, ila ni vizuri kusimamia haki tokea mwanzoni na sio kusubiri mpaka mambo yabadilike na kuona ametengwa na serikali mpya, ndo unaanza kupambania haki.
Hii iwe fundisho kwa wanasiasa wengine, watende haki wanapokuwa na mamlaka kwani inamanufaa kwa wote. Hata siku ambapo watakuwa hawashiki mpini tena, bado itawasaidia. Na sio kukumbuka shuka wakati kumekucha.
Sahihi kabisa, Wahenga walisema " mfa maji haachi kutapatapa" . Haya yote yanatokea sababu anakumbuka alivyokuwa akiogopwa na wabunge, Rcs, DC na hata mawaziri, kwa raha alizokula. Nashauri kamati kuu imtimue uanachama kabisa aje huku mtaani tummalize kabisa