mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Njaa Mkuu, na UnafikiHe got a point... yes yes..
But what made him silent for the past 6 years?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa Mkuu, na UnafikiHe got a point... yes yes..
But what made him silent for the past 6 years?
POLEPOLE ASIBEZWE YUPO SAHIHI LABDA TU TUMUULIZE ALIKUWA WAPI? JIBU NI RAHISI ALIKUWA A ATETEA UGALI WAKE AMBAO HATA WEWE UNGETETEA HIVYO ASIBEZWEAnti-Samia government, Comrade Polepole anazidi kujibebea point
Tazama hapa video
🤣🤣🤣POLEPOLE ASIBEZWE YUPO SAHIHI LABDA TU TUMUULIZE ALIKUWA WAPI? JIBU NI RAHISI ALIKUWA A ATETEA UGALI WAKE AMBAO HATA WEWE UNGETETEA HIVYO ASIBEZWE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Aende zake huko! Huyu ni kinyonga na mnafiki mkubwa zama zake zimeisha sasa akae pembezoni mwa Barabara ashangae vieiteePOLEPOLE ASIBEZWE YUPO SAHIHI LABDA TU TUMUULIZE ALIKUWA WAPI? JIBU NI RAHISI ALIKUWA A ATETEA UGALI WAKE AMBAO HATA WEWE UNGETETEA HIVYO ASIBEZWE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mzalendo hawezi kuzungumza UPUMBAVU kama huu. Acha ujinga!!!
Wewe mwenyewe umekiri kuwa amekua mwalimu mzuri alafu unauliza tena ametumwa na nani. Ametumwa na Wito wakeHuyo Humprey Pole Pole kwa sasa amekuwa Mwalimu mzuri sana wa masuala ya uongozi.
Ndiyo anafundisha vizuri sana... Lakini kwa nini sasa? Na anashirikiana na akina nani? Mbona alipokuwa kwenye enzi halitenda kinyume?Wewe mwenyewe umekiri kuwa amekua mwalimu mzuri alafu unauliza tena ametumwa na nani. Ametumwa na Wito wake
Ebu jaribu kurudia kusoma ulichoandika neno kwa neno...Kama inakuuma acha tu kumwangalia,wanaohitaji wataangalia.
Kama vipi muanzishe nanyinyi darasa la kumjibu.
Akili yako inawahi kusahau,alikuwa na kipindi kile raia wanapiga simuNdiyo anafundisha vizuri sana... Lakini kwa nini sasa? Na anashirikiana na akina nani? Mbona alipokuwa kwenye enzi halitenda kinyume?
Madame; ni kweli haki zote anazo. Lakini ndo tusitake kujua washirika wake na timing yake??Ana haki ya kufundisha jamani.
Sasa ndo umejibu swali??Akili yako inawahi kusahau,alikuwa na kipindi kile raia wanapiga simu