Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Hajasema ataondoka “voluntarily”, unajuwa maana ya hiyari?

Kasema hataondoka kwa hiyari yake. Wewe unasema kasema atoondoka “voluntarily”. Kiswahili hujui, wala kiingereza hujui. Kutukana mko vizuri na ndiyo sifa kuu ya ccm kupewa cheo na kuonekana una akili. Stupid wahed.
Ni aibu watu hawajamwelewa PolePole. Naona kama ni upinzani katika nchi hii utatokea kwake. Kijana amejizatiti. Subiri uone!
 
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Mnachekesha sana,asubuhi mliamka na thread za kuuaminisha umma humu mitandaoni kwamba Polepole anakwenda kutangaza kujivua uanachama.

Baada ya kuumbuka na uongo wenu, sasa mnatunga uongo mwingine mwiingi.

Polepole hana njaa na amekwisha weka wazi kwamba 2025 hataki ubunge

Yule sio kilaza.elimu yake sio kama ya Dj au Sugu na wengine wengi waliochutama kwa sasa huko vijiweni
 
Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938

=====

UPDATES;

======

"Kama viongozi wasiposali na kumtemea Mungu nchi yetu haiwezi kuendelea, tumtangulize Mungu mbele. Kuanzia diwani, mpaka mawaziri na kule juu tuwe watu wa maombi, kukumbushana ni muhimu, naona kama tunatakiwa tuishi maisha ya Kimungu hivi." - Humphrey Polepole

"Viongozi wanatakiwa wawe waadilifu na wanyenyekevu." - Humphrey Polepole.

"Nilisema kuhusu magonjwa, mfano ebola, kesi moja tu imewahi kupenya na ikafuatiliwa na sasa tuko salama. Yakaja haya magonjwa mengine maarufu hivi karibuni lakini sio kitu. Nikasema muwe makini hawa wahuni wa kimataifa ni wajanja." - Humphrey Polepole.

"Nilizungumza kuhusu songombingo la wamachinga, Mhe. Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana lakini wapo waliotekeleza vizuri wengine wamefanya vibaya mno, wameboronga, ukimkosoa DC au RC kuhusu hili wanasema umemkosoa Rais, nani kakwambia?" - Humphrey Polepole.

"Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana kuhusu wamachinga, wapangeni vizuri, msiwazonge, msiwapige, msiwanyanyase.... mimi ni mwana-CCM bana, fitina kwangu ni mwiko. Nikasema mlivyotenda kwa machinga baadhi yenu mmekosea na nikatoa mifano." - Humphrey Polepole.

"Kwenye mgongano wa kimasilahi kuna aina tatu, masilahi ya Taifa, kundi au mtu mmoja mmoja, wanaanza na masilani ya mtu mmoja, kisha kundi na baadaye Taifa, nikasema wanaopanga hivi ni wahuni." - Humphrey Polepole.

"Wahuni wanapenda masilahi binafsi kwanza, kazi yetu ni kuwadhibiti bila huruma wala kucheka nao. Yanatokea majitu tena viongozi na kusema mimi ni muhuni nimepenya, unaweza kutafakari namna gani kiongozi huyu yuko serious, huwezi kuwa kiongozi ukachekelea kuwa mhuni." -Polepole.

"Kule bungeni tunakutana mara chache, mfano kuna kipindi cha mwezi Machi hadi Julai, ina maana mimi niongee mara nne tu kwa mwaka kuhusu wahuni, unadhani inatosha, nitatumia fursa zozote za kusema ili kuwasema wahuni," - @hpolepole, Mbunge wa kuteuliwa.

"Kwa sasa nimeshaanza kufuatilia mambo kadhaa, watu wakizingua pahala ninatoka ninasema hapa umezingua nitaruka na wewe, nakulipua, si wanachelewa kuchukua hatua? - Humphrey Polepole.

"Sijasema Serikali haifanyi kazi, Serikali inafanya kazi nzuri sana lakini ni jukumu letu na kukumbushana. Unadhani kwa nini malaria haiishi na tumesoma mpaka madarasa tukayamaliza? Halafu tunasema tu lete net, hivyo viwanda wanatengeneza wapi?, vya msaada. - Humphrey Polepole.

"Nilieleza kuhusu uchambuzi wa matatizo, malaria haiishi Tanzania kwa sababu hatuchambui tatizo, unadhani ufumbuzi ni chandarua kwani ukitoka usiku kwenda haja ndogo mbu si wanaunga na wewe? tunafanya maamuzi ambayo hayajajengwa katika kutatua tatizo, hilo nalo tatizo." -Polepole

"Kuna kiwanda kipo hapa nchini kinatengeneza viuatilifu vya kuua mazalia ya mbu, nyie wanahabari waulizeni wamewahi kunnuua pale? Mtu analala kwenye chandarua mguu upo nje, mbu wanamng'ata, nauliza sisi tumekwenda shule tukasoma, hii ndio suluhisho kweli?" - Humphrey Polepole.

"Nilizungumza kuhusu deni la taifa, kuna watu wengine ni wabunge wakaibuka wanasema ooh deni limekuuwa kubwa, zito linamuelea mama. Nikatoka nikasema ukweli wasipotoshe, ni uongo. Si viongozi wote tupo kwa nini mwenzetu anapotosha na hatutoki kusema? kimya. -Humprhey Polepole.

"Sijui kwa nini viongozi wanaogopa kusema, sijui wanaogopa, kwa sababu deni linalosemwa viongozi wote walikuwepo, niweke sawa watu wasielewe tofauti. Kwa nini wenzetu msitoke mkasema, au mpaka watu wachanganyikiwe, penye ukweli lazima tuseme ukweli? - Humphrey Polepole.

"Juzi Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo ndiye amekuwa mtu wa kwanza kutoka na kusema deni la Taifa ni himilivu, na yeye amejiongeza tu baada ya kuona kimya." - Humphrey Polepole.

"Sijazungumzia mtu, mbunge, mamlaka ya nchi wala mjomba wake mtu lakini baadhi ya viongozi wamechukia, kwa nini unaongea? Hivi imefika pahala tunaulizana kwa nini umeongea, Mungu amenipa mdomo unataka nifanye nini? Kuna kula na kuongea. - Humphrey Polepole.

"Nilipofanya Shule ya Uongozi nikapigiwa simu na watu wanaambiwa acha kwanza, nikauliza kwa nini? hakuna majibu. Nimefanya kazi na Mzee Mkapa, Kikwete, Magufuli na Mama Samia, hawa viongozi wangu wote hawajawahi kuniambia 'kaa kimya', nawashangaa wanaotaka ninyamaze." - Polepole.

"Mwalimu Nyerere alisema 'hoja ahipigwi rungu, inajibiwa kwa hoja bora zaidi', mimi ni mwana-CCM ninawaambia hapa kuna tatizo linarekebishika hivi, unasema kaa kimya, hilo ni jibu la hoja nilililoitoa." - Humphrey Polepole.

"Niliitwa kwenye chama kwa tuhuma, nilizijibu zote moja baada ya nyingine, siwezi kusema, chama kitakuja kuzungumza." - Humphrey Polepole.

"Nimeitwa TCRA, wanasema nimetoa maudhui ya kupotosha umma yanayoweza kuchochea Watanzania kugomea na kudhoofisha kampeni ya Kitaifa kujikinga na Corona. Hivi mimi nimeshawahi kuwaambia tudhoofishe kampeni ya kujikinga na corona? hawa wanataka kunichomeka hapa" -Humphrey Polepole

"Sijawahi kusema kwa nini sichanji, sasa tusisukumane nikafafanua kwa nini sikutaka kuchanja. Sasa nitakwenda TCRA kupeleka utetezi wangu nikaseme ukweli maana tunatafutana kwenye korido la corona." - Humphrey Polepole.

"Hii hoja ya wamachinga nasema kweli mmeonea watu, halafu mtu anasema kaa kimya, kumbe jukumu la mbunge ni nini? Sauti ya watu ni ipi? Hii kaa kimya nimehangaika nayo sana, nimefanya tu kiubishi." - Humphrey Polepole.

"TCRA wanasema wamenipa leseni kwa ajili ya maudhui ya kipindi cha Papo kwa Hapo, wanahoji kwa nini ninafanya Shule ya Uongozi... hivi mimi nimekulipa milioni ile halafu unanipangia cha kuzungumza? naweza kuposti familia yangu au mbwa wangu, utaniuliza?" - Humphrey Polepole.

"Kuhusu corona kuna ubishi wa kidunia, kila mtu ana upande wake, na mimi niweke wazi nipo kwenye ubishi huo. Mpaka Yesu atarudi tunaendelea na ubishi," Humphrey Polepole.

"Suala la machinga wanasema nimesema uongo, tena kwenye hilo nitasema na mengine ambayo sikutaka kusema, nina ushahidi, nimepeleka watafiti wilaya zote za Dar es Salaam, mtu amehamishwa na kupelekwa kwenye karo la choo, hivi Mhe. Rais aliwatuma hivyo?" - Humphrey Polepole.

"Kuna watu wanasema Polpole anajitoa CCM anakwenda kuanzisha chama chake, nataka niwaambie niliingia CCm kwa hiari mwaka 2000 nikapiga kura kwa mara ya kwanza, sitatoka CCM kwa hiari. Kama ninatoka CCM washike wanitupe nje, bado tupo sana hapa." - Polepole.


Mbunge wa Kuteuliwa (CCM),Humphrey Polepole amesema amepokea Mashtaka ya TCRA yanayosema kupitia Kipindi chake cha Shule ya Uongozi, amerusha Maudhui yanayopotosha Umma na yanayoweza kuchochea Watanzania kuweza kugomea Kampeni ya Kitaifa ya #COVID19

Akizungumza leo amesema, "Hivi mimi nimewahi kuwaambia ninyi tudhoofishe Kampeni ya Corona? Wapi niliwaambia kwa maana hiyo?"

Amesema kwasababu amepewa nafasi ya kujibu, atapelekea Utetezi wake aliodai unajitosheleza

#JamiiForums #UVIKO3

Pole sana,
shimo hilo ulilichimba mwenyewe kwa mikono yako.Sasa waingia mwenyewe pasi kutaka kwako.
 
Hayo ni maneno ya kujifariji ila ukweli unabaki kuwa wananchi waliwakataa na wakamkubali JPM.
Na 2025 wale wote mliokunywa bia za kufurahia kifo cha JPM wananchi wanawasubiri.

Labda muugomee tena uchaguzi.
JPM ni turufu ya uongozi 2025 kubali kataa. At least Polepole anafanya kazi nzuri.
 
Tunamsubiri katibu mkuu wa CCM mstaafu a.k.a katibu mkuu kiongozi mstaafu a.k.a mbunge wa kuteuliwa Dr. Mtumia dola kubaki kwenye dola tuone Kama bado ameshika dola aje naye aseme machache. Tumemiss kule kukuamini kwake Hadi akawahoji makanali wastaafu wa jeshi.
Aisee Kuna watu wanajiamini.....
 
Polepole hajalalamika bali ameonyesha msimamo thabiri wa kile anachokiamini. Haya mengine ya kwenu chagadema.

Kwa hali halisi ya siasa za nchi hii wanachama au wanasiasa wenye misimamo kama huyu ni wachache sana.

Huyu hana unafiki wa kusifia bali kuusema ukweli anaouamini.
Yote kwa yote anauoyapitia sasa aliyategemea kipindi akiwa kwenye viiete ya kiyoyozi?
 
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Mnachekesha sana,asubuhi mliamka na thread za kuuaminisha umma humu mitandaoni kwamba Polepole anakwenda kutangaza kujivua uanachama.

Baada ya kuumbuka na uongo wenu, sasa mnatunga uongo mwingine mwiingi.

Polepole hana njaa na amekwisha weka wazi kwamba 2025 hataki ubunge

Yule sio kilaza.elimu yake sio kama ya Dj au Sugu na wengine wengi waliochutama kwa sasa huko vijiweni

Baada Ya Jiwe Kufa Sukuma Gang Ni Kama Mmechanganyikiwa Vile;
 
Pole Pole aitwa TCRA kutokana na maudhui aliyoyatoa kuhusu ugonjwa wa Corona kwenye kipindi chake cha shule ya uongozi.

UPDATES;

======

"Kama viongozi wasiposali na kumtemea Mungu nchi yetu haiwezi kuendelea, tumtangulize Mungu mbele. Kuanzia diwani, mpaka mawaziri na kule juu tuwe watu wa maombi, kukumbushana ni muhimu, naona kama tunatakiwa tuishi maisha ya Kimungu hivi." - Humphrey Polepole

"Viongozi wanatakiwa wawe waadilifu na wanyenyekevu." - Humphrey Polepole.

"Nilisema kuhusu magonjwa, mfano ebola, kesi moja tu imewahi kupenya na ikafuatiliwa na sasa tuko salama. Yakaja haya magonjwa mengine maarufu hivi karibuni lakini sio kitu. Nikasema muwe makini hawa wahuni wa kimataifa ni wajanja." - Humphrey Polepole.

"Nilizungumza kuhusu songombingo la wamachinga, Mhe. Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana lakini wapo waliotekeleza vizuri wengine wamefanya vibaya mno, wameboronga, ukimkosoa DC au RC kuhusu hili wanasema umemkosoa Rais, nani kakwambia?" - Humphrey Polepole.

"Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana kuhusu wamachinga, wapangeni vizuri, msiwazonge, msiwapige, msiwanyanyase.... mimi ni mwana-CCM bana, fitina kwangu ni mwiko. Nikasema mlivyotenda kwa machinga baadhi yenu mmekosea na nikatoa mifano." - Humphrey Polepole.

"Kwenye mgongano wa kimasilahi kuna aina tatu, masilahi ya Taifa, kundi au mtu mmoja mmoja, wanaanza na masilani ya mtu mmoja, kisha kundi na baadaye Taifa, nikasema wanaopanga hivi ni wahuni." - Humphrey Polepole.

"Wahuni wanapenda masilahi binafsi kwanza, kazi yetu ni kuwadhibiti bila huruma wala kucheka nao. Yanatokea majitu tena viongozi na kusema mimi ni muhuni nimepenya, unaweza kutafakari namna gani kiongozi huyu yuko serious, huwezi kuwa kiongozi ukachekelea kuwa mhuni." -Polepole.

"Kule bungeni tunakutana mara chache, mfano kuna kipindi cha mwezi Machi hadi Julai, ina maana mimi niongee mara nne tu kwa mwaka kuhusu wahuni, unadhani inatosha, nitatumia fursa zozote za kusema ili kuwasema wahuni," - @hpolepole, Mbunge wa kuteuliwa.

"Kwa sasa nimeshaanza kufuatilia mambo kadhaa, watu wakizingua pahala ninatoka ninasema hapa umezingua nitaruka na wewe, nakulipua, si wanachelewa kuchukua hatua? - Humphrey Polepole.

"Sijasema Serikali haifanyi kazi, Serikali inafanya kazi nzuri sana lakini ni jukumu letu na kukumbushana. Unadhani kwa nini malaria haiishi na tumesoma mpaka madarasa tukayamaliza? Halafu tunasema tu lete net, hivyo viwanda wanatengeneza wapi?, vya msaada. - Humphrey Polepole.

"Nilieleza kuhusu uchambuzi wa matatizo, malaria haiishi Tanzania kwa sababu hatuchambui tatizo, unadhani ufumbuzi ni chandarua kwani ukitoka usiku kwenda haja ndogo mbu si wanaunga na wewe? tunafanya maamuzi ambayo hayajajengwa katika kutatua tatizo, hilo nalo tatizo." -Polepole

"Kuna kiwanda kipo hapa nchini kinatengeneza viuatilifu vya kuua mazalia ya mbu, nyie wanahabari waulizeni wamewahi kunnuua pale? Mtu analala kwenye chandarua mguu upo nje, mbu wanamng'ata, nauliza sisi tumekwenda shule tukasoma, hii ndio suluhisho kweli?" - Humphrey Polepole.

"Nilizungumza kuhusu deni la taifa, kuna watu wengine ni wabunge wakaibuka wanasema ooh deni limekuuwa kubwa, zito linamuelea mama. Nikatoka nikasema ukweli wasipotoshe, ni uongo. Si viongozi wote tupo kwa nini mwenzetu anapotosha na hatutoki kusema? kimya. -Humprhey Polepole.

"Sijui kwa nini viongozi wanaogopa kusema, sijui wanaogopa, kwa sababu deni linalosemwa viongozi wote walikuwepo, niweke sawa watu wasielewe tofauti. Kwa nini wenzetu msitoke mkasema, au mpaka watu wachanganyikiwe, penye ukweli lazima tuseme ukweli? - Humphrey Polepole.

"Juzi Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo ndiye amekuwa mtu wa kwanza kutoka na kusema deni la Taifa ni himilivu, na yeye amejiongeza tu baada ya kuona kimya." - Humphrey Polepole.

"Sijazungumzia mtu, mbunge, mamlaka ya nchi wala mjomba wake mtu lakini baadhi ya viongozi wamechukia, kwa nini unaongea? Hivi imefika pahala tunaulizana kwa nini umeongea, Mungu amenipa mdomo unataka nifanye nini? Kuna kula na kuongea. - Humphrey Polepole.
Hii ndio habari yakuita waandishi wa habari ? Kweli jamaa analazimisha publicity, political mileage au sijui ni nini ? Kazi kweli kweli !!
 
Mbunge wa Kuteuliwa (CCM),Humphrey Polepole amesema amepokea Mashtaka ya TCRA yanayosema kupitia Kipindi chake cha Shule ya Uongozi, amerusha Maudhui yanayopotosha Umma na yanayoweza kuchochea Watanzania kuweza kugomea Kampeni ya Kitaifa ya #COVID19

Akizungumza leo amesema, "Hivi mimi nimewahi kuwaambia ninyi tudhoofishe Kampeni ya Corona? Wapi niliwaambia kwa maana hiyo?"

Amesema kwasababu amepewa nafasi ya kujibu, atapelekea Utetezi wake aliodai unajitosheleza

#JamiiForums #UVIKO3


Mheshiwa Polepole ni sauti muhimu sana ya umma. Anawakilisha wengi. Nyie TCRA hamna kazi, kwanza watu kawa hawa wenye mawazo mbadala ya kushauri, kurekebisha, kukumbusha inabidi muwalinde.

Demokrasia ni nini? kuwasikiliza wengi, mawazo yao, maoni yao, kero zao, wanateseka na nini?

Uraia ni nini? A citizen is a participatory member of a political community.
Raia ana haki anatakiwa atoe maoni kwa staha ya kujenga nchi yake. ni jukumu lake, jukumu la raia wote wa nchi yoyote duniani.

Serikali ni nini? Watu wachache wamepewa dhamana, nafasi kuwaongoza Wananchi wote.
Inamaanisha kuwasikiliza, kutatua kero, shida zao, kuweka mazingira sahihi ya biashara, kodi, kilimo, exports, miundombinu yote ( Afya, shule, hospitali, barabara) ustawi wa nchi.

TCRA mnataka kila mtu akubali huu uhuni, maji, umeme, ajira hakuna, mfumuko wa bei, vifurushi, wote inabidi tucheke huku tunakufa taratibu. Mnakosea, hamjui majukumu yenu.
 
Aiseee
Hata ungekuwa wewe ungedata[emoji23] ghafla machawa wote wamekukimbia....we life la mjini unalijua, machawa Wana Raha yake, machawa hawana Tu hela Ila wanajua viwanja vyote vikali, pisikali zote, na hawakataliwagii....! Sasa ghafla wanakukataa wanakuona umekaukiwa damu, zile mkuu, boss, mkubwa huzisikii tena....halafu ghafla tu...lazima udate, huyu tumuhurumie, kuvaa viatu vyake ni ngumu.
 
Mbona akina ZZK wamekuwa na youtube talks, kuna akina Maria wana space talks, kuna akina Jenerali wanazindua vitabu na kujiachia kuzungumza.

Kwanini Polepole kuzungumza na media LHRC inaonekana nongwa? Nadhani maadamu hajavunja sheria na msingi wa uongozi ni kukosoana kwa misingi ya kujenga hoja pasi kutwezana, bila shaka Humphrey ana ujumbe wa kutufikirisha.
Mbona enzi zake akiwa na nguvu wenzake wakizungumza wanatekwa au kuuliwa kabisa? Kwa hiyo na yeye atekwe siyo au auliwe kabisa?!!!
Vijana wa ccm tukiwaambia tujenge chi kwanza chama baadaye hamtaki, mnadanganywa eti chama kwanza nchi baadaye...ipo siku ya kila mmoja wenu itafika tu, mnakitukuza chama na kuidharau NCHI!!!!!
 
Mheshiwa Polepole ni sauti muhimu sana ya umma. Anawakilisha wengi. Nyie TCRA hamna kazi, kwanza watu kawa hawa wenye mawazo mbadala ya kushauri, kurekebisha, kukumbusha inabidi muwalinde.

Demokrasia ni nini? kuwasikiliza wengi, mawazo yao, maoni yao, kero zao, wanateseka na nini?

Uraia ni nini? A citizen is a participatory member of a political community.
Raia ana haki anatakiwa atoe maoni kwa staha ya kujenga nchi yake. ni jukumu lake, jukumu la raia wote wa nchi yoyote duniani.

Serikali ni nini? Watu wachache wamepewa dhamana, nafasi kuwaongoza Wananchi wote.
Inamaanisha kuwasikiliza, kutatua kero, shida zao, kuweka mazingira sahihi ya biashara, kodi, kilimo, exports, miundombinu yote ( Afya, shule, hospitali, barabara) ustawi wa nchi.

TCRA mnataka kila mtu akubali huu uhuni, maji, umeme, ajira hakuna, mfumuko wa bei, vifurushi, wote inabidi tucheke huku tunakufa taratibu. Mnakosea, hamjui majukumu yenu.
Enzi za Jiwe hayo yote hamkuyajua?kafieni huko
 
Kipuz sn huyu classmate wang wa mbuyuni shule ya msingi
Yeye nani anatisha watu

Ova
Tuondolee ubishi leo mlimaliza mwaka gani? Maana wengine wanadai Polepole amemaliza shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni.
 
Hahaaaa!!!!hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Watanzania ni watu wa ajabu sana,Huu uongo mnaowalisha watu ni kwa faida ya nani?

Polepole kasema yeye aliingia CCM voluntarily na hivyo kama kuna wahuni watamfanyia zengwe kumtoa pia hana shida ataondoka voluntarily.

Halafu hajaongea kwenye mkutano wa chama bali kwenye ofisi za LHRC

Sasa wewe tayari kwa chuki za kichagadema Mnakurupuka bila hata kula,mnaanza kumlisha maneno kisa tu aonekane mbaya.

Sote tunajua jinsi chagadema mnavyoumia na kukaa bench kwa miaka mitano mmejaa sumu mnamuona Humphrey Polepole kama mwenezi ndie alichangia kuwapiga benchi.

Lakini uhalisia ni kwamba wapiga kura tuliwapiga chini.

Na bado 2025 mtapigwa tena.

Ona shauri ya kuweka maslahi binafsi siku hizi hamtaki hata salamu za kina Mdee kisa shekeli.

CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Hamtakuja kushika uongozi wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom