Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Huyu mwamba sijui yupo wapi...nje ya mada anywayShut da f*ck kila zama na Kitabu chake.
View attachment 2040465
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwamba sijui yupo wapi...nje ya mada anywayShut da f*ck kila zama na Kitabu chake.
View attachment 2040465
Alikuwa hana uzoefu wa maisha fulani,Mwamba kapagawa, zile perdiem hazipo tena, akienda ziara anasindikizwa na askari hakuna tena vieite la kijani hakuna tena mzee wetu kapagawa uenezi hana tena anajifanya mzalendo, wakati wanafungia mikutano vyama vingine alikua wapi? Atulie atutolee kelele
Anadhani CCM Yao na marehemu ndio hii, Ile CCM ya kupiga risasi wakosoaji, hapo hajiamini anatafuta mass support.....Ile mizimu ya Kina Ben, risasi za Lisu inamsumbua kichwani.Huyu anachokitafuta atakipata muda si mrefu. Namsikitikia na kumhurumia sana.
Mbona akina ZZK wamekuwa na youtube talks, kuna akina Maria wana space talks, kuna akina Jenerali wanazindua vitabu na kujiachia kuzungumza.CCM wanaiogopa sana hiyo, usifanye ionekane kama ni jambo la kawaida!
Kiboko ya wahuni ndani ya serikali.polepole ndio nani?
Kama ni hivyo basi atakuwa amechanganyikiwa, pole sana Mr PLPL , Lakini si vibaya akijaribu siasa ni mchezo mchafu wanasemaga !!usitutishe...being a big fish without having an influence and commanding power in tiss, police force and the inner circle of ccm is like being naked.
polepole na wanaomtuma kwa sana hawana huo u-big fish unaousema. hata inzi tu akikatisha wanaogopa.
Hivi sasa hata Haji Manara ni spotlight kuliko PLPL.This dude is seeking nothing but attention. Please ignore
Hivi sasa hata Haji Manara ni spotlight kuliko PLPL.Hahahaa !! Nimecheka sana, duh !
Mnafiki sana Huyo MhuniAmeyaongea hayo kwenye mkutano wa chama. Ccm kuweni makini makini mmefuga bomu litawalipukia any time
Ndio maana nafsi i amsuta hana maana yoyote anahangaika tu kuiponya nafsi yake dhidi ya maobu aliyofanyaAshukuru yeye analata nafasi ya kuongea, kipindi cha mwendazake na yeye walifikia hadi kuwapiga risasi wenzao ili tu wasiongee.
Kwakweli !! Duh! Muda utaongeaHivi sasa hata Haji Manara ni spotlight kuliko PLPL.
Hivi sasa hata Haji Manara ni spotlight kuliko PLPL.
Huyu jamaa ana degdege. Damu za alio ua akishirikiana na wasio julikana zimeanza kucheza nae. Hivi ana jiona ni star kuliko nani huyu mchumia tumbo??Ameyaongea hayo kwenye mkutano wa chama. Ccm kuweni makini makini mmefuga bomu litawalipukia any time
Watz huu ni mkakati..... hamuamkagi tuuu! Mnajikamua kuongea kwa jambo ambalo ni #Agendasetting. Nawahurumiaga sana Watz wenzangu wanaochukulia siasa serious na ku-bet kwayo.Kama hawakuiangusha dola Maalim Seif, Mrema, Lowasa, Sumaye, Kingunge. Who is Polepole.
Binadamu ni kiumbe ghali sana kupata kuumbwa, haiwezekani Mungu atulie amuumbe mwanadamu halafu mwingine ujitokeze umpoteze Tu kiboya....hapo hajiamini, na hivyo CCM hawamjibu wala kumuita anahisi uhai wake upo rehani na yeye atapotezwa....anaitisha hivyo vipress Ili kutafuta ulinzi WA macho ya watu.Huyu jamaa ana degdege. Damu za alio ua akishirikiana na wasio julikana zimeanza kucheza nae. Hivi ana jiona ni star kuliko nani huyu mchumia tumbo??