Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpuuzi huyo babuChawa ameisha huyu tayari
View attachment 2150597
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi huyo babuChawa ameisha huyu tayari
View attachment 2150597
Kwani wote wanaapishwa?Angalia vizuri wapo wengi tu ambao hawajavaa hapo
Mama D umenichekesha sana yaani nimecheka hadi sasa bado nacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mamdogo watu wagomvi bila sababu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanao hapa wanakupa goodnight[emoji182][emoji182][emoji182]
🤣 🤣 🤣 🤣Atachanjwa Tu
Nyani Hatemi Bungo
Amechanjwa kimya kimya, huwezi kuingia Malawi ukiwa Balozi kama hujachanjwa. Mfumo ni lidude fulani halichezewi hata kidogo.Baada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Zamani kulikuwa na sabuni inaitwa KOMOA
Kwenye uapisho hajavaa hata barakoa kusisitiza msimamo wakeBaada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Wengi wanafikiria serikali haikubali kukosolewa, Raisi ameonesha nia na uwezo wa kupima, na kuamua kwa kwa hekima sana, tunataka serikali inayoamua kwa vitendo na kutenda, sisi ni wafuasi tu wa kile kinachoitwa good governance, Raisi ameonesha kwa vitendo na wote tumefurahi"Rais ameonesha ana nia thabiti ya kutokuacha alama ya uwakilishi kwa wananchi"
Hebu fafanua hiyo statement yako.
Polepole ana jeuli sana. Wowote wamevaa barakoa lakini yeye hakuvaaBaada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Aisee, swali zuri sanaBaada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Yaani ujinga wa mtu mmoja tu, tena kwa manufaa yake, ndio uuite mgogoro wa kidiplomasi?!!Baada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Hawezi kuingia malawi bila kuchanjaBaada ya uteuzi huu wa kuwa Balozi kwa nchi ya Baba Askofu Bw Chakwera ambaye ni Mmagharibi kimtizamo. Je, Polepole atachanja au hatachanja?
Ni mgogoro wa kidiplomasia au ndio demokrasia itashika hatamu?
Atachanjwausoropoke hovyo wewe, unadhani balozi ni kama raia wa kawaida ambae hata mlo tu ni shida