Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Nakataa huo ni uongo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Yani wanafurahisha sana wamekiwa wadhaifu mno na ndo maana wanakutana na matapeli wanakuja kulia Lia
wakibadilisha mindset zao na ndivyo mambo yatabadilika
Khakhakhaaaa.....
Nakaziaaaaaaaaaaaaa!
Mtoa mada lazima alikutwa na jambo pole yake!! Kuna wameoana Humu wengine wana mahusiano yenye afya tereeeeeeeeeeeeeeeπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈ!!
Pole yake
 
Hakuna mtaa,Kijiji au nyumba inaitwa jamii forum.

Jamii forum ni wewe, wanao, mkeo, wazazi wako, wafanyakazi wenzako mliosoma pamoja, mnaosali pamoja Kila mmoja anatumia ID na jina feki hivyo usijidanganye kuwa unamtokea demu ya jf kumbe unamtokea mwanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…