Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mie akuuuHao wanawake (wenye miaka 18-35) wanaolipia wanaume kodi wako wapi? Hawahawa wadada ambao ukiwaomba namba leo, kesho anakwambia mjomba wake kameza shoka, anaomba tshs elfu kumi?? Hizo ni exeption ndogo sana my sister, statistically ni percent ndogo sana ya wanaume ndio wanakula pesa nyingi ya wapenzi wao wa kike Unique Flower
Hujui hata kuweka at nakumwita mtu licha ujue kupiga inshuuWe haumo kabisa kwenye list ya @Chariifransico π€£ π€£ π€£ π€£
Hapana sio hivyoo ni kuwa kabisa ike ya charting nakuonana ila shida Ipo mie siwezi Tena .Wewe ni witch craft au [emoji848] , hemu nisaidie kujua kama nipo serious au laaaa! i'm waiting.
hahaha watu na utakatifu wao lolIla wavulana wa jf bwana
Ndoa sio kigezo Cha wife material mkuu,Kuna wanawake wengi tu wajinga wameolewa ndoa hazina amaniNdoa yangu ya JF imenipatia mtoto
Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu. Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto...www.jamiiforums.com
Muweke karibu atakushangaza wanawake wa Jf sio Japo sio woteHuyu binti anayetumia id ya binti kiziwi michango yake humu inasadiki alivyo smart, na imani pia ni smart kwenye uhalisia na huwenda pia akawa binti mrembo haswa.
Mkuu wanawake wa Jf Wana stress za mahusiano unaona SasaπUnatema pumba za kuku wewe sijui unaongea nn
Na umefanya survey % ngapi daaah what a shame
Haya binti yangu binti kiziwiMuweke karibu atakushangaza wanawake wa Jf sio Japo sio wote
Lete ushaidiWewe una ushahidi kuwa hawapo?
Nikikuambia nimemuoa mdada wa humuhumu jamvini ila hatukutaka matangazo utabisha?
ππππRudi darasani ukajifunze kutofautisha kati ya R na L then njoo hapa uandike mashudu yako.
Sijakupendelea, unajiamini sana bila shaka huko ulipo u kiongozi. Na kama ni mfanya biashara hakika biashara yako itakuwa imesimama.Mkuu! Unanipendelea sana! Asante ....
Msichana wa Jf vipi nije pmIla wavulana wa jf bwanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Sawa malaika kiongozi, naunga mkono hoja.
Kua kua kwanza labda ukakutana na wa kufanana nawe.Msichana wa Jf vipi nije pm
Nimeona una kitu utafika mbaliππ
ππππKua kua kwanza labda ukakutana na wa kufanana nawe.