Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Sasa ungemwambia huko PM ingetosha.
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Kwa ubaya nakubali ni m bad...choka mbaya mbovu..vingine sina uhakika navyo 😆
 
Aisee! unaanzisha vita vya 3 vya dunia kwa sababu ndogo kama hii?

Hebu tuambie kwanza umepatwa na nini dada UNIQUE flower🙂
 
Yaani nilipwe 1m na IST yangu ya mkopo nisiringe? Unaijua milioni wewe? Yaani laki ziwe kumi kila baada ya wiki zisizozidi nne nisiringe? Umeliwa bure unatulalamikia siye!
 
Yote haya kayataka huyo jamaa aliyekufanya hilo alilokufanya.Kila siku malalamiko mapya kutuhusu,punguza makasiriko bidada haya maisha kilichotokea ni kama ajali tu.Nikusaidie kumalizia hapo,haya sema "wanaume wote umbwa kasoro mzee wangu tu".natumai maumivu yameisha sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…