Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Ni yule yule wa siku zote kazingua au haya ya leo ni ya nyu memba?
 
Yaani nilipwe 1m na IST yangu ya mkopo nisiringe? Unaijua milioni wewe? Yaani laki ziwe kumi kila baada ya wiki zisizozidi nne nisiringe? Umeliwa bure unatulalamikia siye!
 
Wewe tajiri kichwa ukiuza uchi humu sio wewe kichaa tu bali tahiraaa bora utoe bure humu mmh
 
Mnaela gani??
 
Yaani nilipwe 1m na IST yangu ya mkopo nisiringe? Unaijua milioni wewe? Yaani laki ziwe kumi kila baada ya wiki zisizozidi nne nisiringe? Umeliwa bure unatulalamikia siye!
Nikiliwa humu natembea uchii wa mnyama
 
Unamdharau vipi mtu anayelipwa millioni moja? Mbona mshahara mkubwa tu huo kwa mishahara ya Kibongo?

Msingi wa malalamiko yako ni nini hasa nimeshindwa kukuelewa.
Nafuu umeongea vizuri kiustaarabu kwa sasa siwapendi wanaume wa jf kosa walilofanya hakuna nimwaka tu wakuwapa madongo.
Najisikia kuchukizwa tu na wanaume wa humu
 
Asepe woiii nami anawataka mmefulia hamna ni jipya kwanza mnagongea bia kwa wenzenu mnaongea sana kwanza mnanjaa
 
Ukuje kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…