Humu kuna wanaume wanaringa pwa!


Aliyewalisha hii dhana kuwa kila Mtanzania lazima awe na nyumba ni nani?? Kwangu mie kujenga ni woga wa maisha, si lazima kila mtu ajenge!! Matokeo yake watu wanaishi maisha yao yote wakijenga, ujenzi si project ndogo!!!

Maisha ya appartment matamu sana, nabadilisha location nitakavyo kufuata upepo unakovuma!

Halafu Mtoto, tafakari upya kuhusu maisha!! Halafu uige busara za mama zenu shenzi nyie
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Anajiita Nani ?

Nikatishie watoto wale kwa kutumia picha zake maana wakina juniors watundu sana
 
Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu
Mie akili yangu imenasa hapa. Kama unazo si umwambie akae home ili umlipe Mana ka m hako ni kadogo sana kwako is like a penny to you madame.
Pia Kama hahudumii tumbo ilikuwaje wa ka m kamoja ukakubali Mana hakana thamani kwako.
Usikute hata ukiambiwa utoe ten tu unavyotoa povu. Hata uwe na trilioni Mia na maelfu hutakiwi kuidharau shilingi jamani Mana kila hela inakuja kwa jasho ama kwa kuumiza kichwa.
 
Pole sana Dadangu..
Piga moyo konde, hili nalo litapita..!
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Duuh inamaana unamjua mkuu?
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!


Mkuu Instagram anatumia jina gani ? Tupe wahuni tukaangalie kama anafaa kuliwa ,Hawa wadada wenye tamaa na pesa hapa mjini ni WA kuliwa tu
 
MBWA KALA MBWA.

HAKUNA JIPYA, PITA HIVI MISS BUZA.

POVU LAKO LA SABUNI YA KUPIMA, HALISAIDII KITU.

#ACHASHOBO #PUNGUZAGENYEMSHINDO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…