Huruhusiwi kumuingilia 'mke mdogo' wa baba yako hata kama Baba yako alimuacha kwa talaka

Huruhusiwi kumuingilia 'mke mdogo' wa baba yako hata kama Baba yako alimuacha kwa talaka

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2021
Posts
600
Reaction score
1,843
Iwapo ndoa baina ya baba yako na mama yako mdogo ilitimia kisheria, basi akawa mama yako wa kambo, huyo tayari anakuwa ni Mahrum (Mwanafamilia ambaye ni haram kwako kumoa). Maisha yote hata kama ataachwa baadae na baba yako. Hutakiwi kumuingilia wala kuonesha vishawishi vyovyote vya kumtamani.
 
Iwapo ndoa baina ya baba yako na mama yako mdogo ilitimia kisheria, basi akawa mama yako wa kambo, huyo tayari anakuwa ni Mahrum (Mwanafamilia ambaye ni haram kwako kumoa). Maisha yote hata kama ataachwa baadae na baba yako. Hutakiwi kumuingilia wala kuonesha vishawishi vyovyote vya kumtamani.
Je, anapokuwa ni mama yangu mkubwa hukumu yake inakuwaje? yaani mke wa kwanza wa baba
 
Ahsante kwa taarifa, na kwa nini unafikiria hayo...
Kwasababu kuna baadhi ya kesi zinalalamikiwa na jamii, watoto wababa kulala na mama zao wadogo baada ya kuachwa na baba, ni kutokana na wao kuwepo rika moja au hata kumzidi mama yao mdogo huyo. Na huwenda anachokipenda baba na watoto wakakikpenda kwa hiyo ni HARAMU
 
Kwasababu kuna baadhi ya kesi zinalalamikiwa na jamii, watoto wababa kulala na mama zao wadogo baada ya kuachwa na baba, ni kutokana na wao kuwepo rika moja au hata kumzidi mama yao mdogo huyo. Na huwenda anachokipenda baba na watoto wakakikpenda kwa hiyo ni HARAMU
Hayo yatakua ni makosa ya baba zao...
 
Iwapo ndoa baina ya baba yako na mama yako mdogo ilitimia kisheria, basi akawa mama yako wa kambo, huyo tayari anakuwa ni Mahrum (Mwanafamilia ambaye ni haram kwako kumoa). Maisha yote hata kama ataachwa baadae na baba yako. Hutakiwi kumuingilia wala kuonesha vishawishi vyovyote vya kumtamani.
Waburushi wanarithi mke mdogo wa dingi
 
Back
Top Bottom