Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, kwa faida ya wengi kuna haja ya kubainisha wote tulioharamishiwa kuwaoaHiyo inaswihi kabsa, hakuna ubaya hapo, mie dada yangu ameolewa na mtoto wa ammy yangu (Baba mkubwa)
[emoji23]awe mama wa kambo mkubwa au mdogo mi nasokomeza tu.kwani nna undugu nae.akikaa vbaya kaisha hata mshua akiwa hai cause nkmaliza nyoka wangu naondoka nae
Ni haram kulala na mtoto wa mke wako, haijalishi huyo mtoto ni wako au si wako.Hata mtoto wa kambo ni haram kufanya nae mapenzi
Ni haram kulala na mama yako,,mke wa baba yako,mtoto wa kambo,dada yako
Kwa dini ya Kiislam sheria inaruhusu. Unaoa/kuolewa na mtoto wa baba mdogo au mkubwa au mtoto wa mjomba.Hivi na wale wanaoana baba mkubwa na mdogo ipoje hii?
Wenyewe wanamalizia kwa kusema TUNAKULAGA[emoji1787]Hii slogan ya kitaa KAKA [emoji23]
🕸Iwapo ndoa baina ya baba yako na mama yako mdogo ilitimia kisheria, basi akawa mama yako wa kambo, huyo tayari anakuwa ni Mahrum (Mwanafamilia ambaye ni haram kwako kumoa). Maisha yote hata kama ataachwa baadae na baba yako. Hutakiwi kumuingilia wala kuonesha vishawishi vyovyote vya kumtamani.
Je akiwa mke wa mpwa wako au mwanao?Iwapo ndoa baina ya baba yako na mama yako mdogo ilitimia kisheria, basi akawa mama yako wa kambo, huyo tayari anakuwa ni Mahrum (Mwanafamilia ambaye ni haram kwako kumoa). Maisha yote hata kama ataachwa baadae na baba yako. Hutakiwi kumuingilia wala kuonesha vishawishi vyovyote vya kumtamani.
[emoji3]Wenyewe wanamalizia kwa kusema TUNAKULAGA[emoji1787]
MAMA YAKO MZAZI? Wewe Milembe inaitaJe, anapokuwa ni mama yangu mkubwa hukumu yake inakuwaje? yaani mke wa kwanza wa baba
TSK!MAMA YAKO MZAZI? Wewe Milembe inaita
1) Je ni kweli alimuoa akiwa na miaka 9?
Majibu tafadhali [emoji1431]
2) Kwa kawaida msichana wa miaka 9 ni mdogo sana - kwa maana hiyo bila shaka alikuwa akishiriki nae tendo?
Majibu tafadhali [emoji1431]
3) Allah = anaruhusu tuoe wasichana wenye miaka 9 mpaka leo? Na kama hapana kwa nini? Aliwaruhusu kufunga ndoa hiyo?
Majibu tafadhali [emoji1431]
ALLAH anaruhusu tuoe wenye miaka 9 mpaka leo?
Naam hili kisheri’ah ni “mubah” “mubaah” “permissible” “inaruhusiwa’ kuliendea kulingana na hali halisi; ni hiari ya mtu kama mazingira yote yatakuwa ni rafiki mfano; ruksa ya mamlaka na sababu nyingine za msingi.
Kinachozingatiwa katika sheri’ah ni mtoto wa kike kufika balehe “buligh”; yaani atakapopevuka tu basi atahesabika ni mwenye sifa ya kuolewa. au kama aliolewa kabla ya kupevuka kama ilivyokuwa kwa A’ISHA basi ana hiari ya kuridhia au kutoridhia ndoa yake, mfano: "Binti bikira aliyekwenda kwa MTUME kumlalamikia baada ya mzazi wake kumuoza pasina ridhaa yake, MTUME alimpa hukumu ya kuikataa/kuipinga ndoa hiyo" - riwaya inapatikana kwenye Sahih Muslim.
Moja katika masharti ya ndoa ni “Ar-ridwaa Zawjayn” ridhaa ya muoaji "zawj" na muolewa "zawja". Ni wajibu kwa walengwa kubainisha idhini zao eidha kwa tamko la wazi la kukubali/kukataa au kitendo kinachoashirikia kukubali/kukataa au kunyamaza kunakoashirika kukubali/kukataa. Kumuoza “mwanamke” bila idhini yake ni jambo lisilokubalika kisheri’ah isipokuwa kwa “mtoto mdogo - swaghiyra"; yaani binti mdogo ambaye hajui maslaha ya ndoa, katika hali hii sheri’ah inamruhusu walii wake kumuoza bila idhini yake kama ambavyo ABU BAKR alifanya kwa A’ISHA, na binti atakapopevuka kiasi cha kuweza kubeba mas’ulia ya ndoa atakuwa na hiari ya kuikubali au kuikataa ndoa hiyo, kama atakataa; uamuzi wake utaheshimiwa na utafanyiwa kazi kisheri’ah. Kama ilivyo katika ndoa nyingine vilevile ndoa ya “as-swaghiyra” sharti la matamko “Al Ijab wal Kabul” itakuwepo kama kawaida kubainisha hali ya ndoa kwa pande zote mbili “Al Ijab; yaani tamko la kuwajibisha linalotoka kwa walii kukubali kuoza binti yake” na “al Kabul – tamko la kukubali kuoa linalotoka kwa muoaji”.
Ndoa ya “as-swaghiyrah” hutekelezwa kwa kuchunga maslahi mbalimbali ya muhimu kisheri’ah kwa mfano: kuhofia kupoteza nafasi/fursa ya kumuoza kwa mchamungu, au maslahi mengine yenye tija, vilevile ndoa ya “swaghiyra” hufungwa kwa lengo la kumuepusha mtoto wa kike na fitna/uovu ulioenea katika jamii yake kwa mfano: kuziniwa hovyohovyo na kupata watoto wa vitendo haram.
Inapendeza kwa walii kutomuoza binti yake katika umri mdogo isipokuwa kunapokuwa na sababu ya msingi. Moja katika kanuni ya USOOL AL-FIQH inasema “haja ya kitu hupimwa kulingana na hali halisi” “necessity are measured by the existing circumstances”. Kwa maana hiyo, kama hamna haja ya msingi basi ni vema kutomuoza au kutokuoa binti mdogo licha ya kuwepo ruhusu ya kutekeleza hilo.
NB: Sharee’ah kuruhusu kuwaoa “as-swaghiyra” haina maana inaruhusu kuwaingilia katika udogo wao huo bila kuchunga mambo ya muhimu mfano: afya ya akili 'mentally', uwezo 'sexually', afya ya mwili - ukubwa wa maumbile 'physically' nakadhalika. As-swaghiyrah atakuwa mikononi mwa walii wake hadi pale watakapojiridhisha kwamba ni salama kumkabidhi kwa muoaji. Yaani pale atakapojitizamia na kuona anajiweza “ana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa”, na katika hilo “ukomo wa umri hauzingatiwi”; ni suala la utayari na uwezo wake; ibada zimefungamanishwa katika “ISTI’TWAA – MANIS’TA’TWAA – KUWEZA – UWEZO”, hivyo ni muhimu kuchunga mambo ya muhimu.
Marejeo: KITAB SHARH AL MUMT cha AL-UTHAYMEEN, KITAB MANHAJ SALEEKIN cha ABDURAHMAN AS-SA’D, KITABUN NIKAH cha AT-TUWAIJIRY, BULUGH AL MARAM cha AL-HAFIDH IBN HAJAR AL-ASQALANIY
Dalili:
HADITH:
1. Sunan An Nasai, Kitab Al-Nikaah – Ndoa, Hadithi Namba 61, Daraja la Hadithi: Authentic “Sahih”
2. Sahih Al Bukhari, Kitab Al-Nikaah – Ndoa, Hadithi Namba 121, Daraja la Hadithi: Authentic “Sahih”
QURAN:
1. SURAT AT TALAQ (65), AYA YA 4
Tafuta tafsiri za wafasiri wakubwa mfano: AT-TABARANI, AT-TABARI, AL-S’AD, IBN KATHIR na wengine.
Hukumu hii ni kwa jinsia zote mbili; kwa watoto wa kike wadogo na vilevile watoto wa kiume wadogo, hivyo kama una mtoto wa kiume mdogo unaweza ukamchukulia pisi yake kali halafu akishapevuka akawa anajilia pension yake taratibu hahahaha.. Vigezo na masharti kuzingatiwa
ALLAHÚ A'LAM "GOD KNOWS BEST"[/B][/I]
Nimegusisha kiambata cha Manhaj Saleeken, point nimeizungushia duara, na footnote yake nimeiweka alama ya nyota ya hovyohovyo [emoji3]View attachment 2201683
Vema, karibuShukrani mkuu wa ufafanuzi; na wala sipingi ila inabidi nikae chini kabsa mtu aniekekeze nukta kwa nukta na nimuulize maswali na anijibu kwa uzuri tu nimuelewe; nashukuru mkuu