Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Alipaswa kushitakiwa kwa matusi na si kesi ya uongo ya madawa ya kulevyaKatiba ya nchi haijaruhusu MATUSI NA DHARAU kwa Rais wa nchi.....
Nipe kipengele kinachoruhusu hayo.....
Hivi kuidai haki yako ndio kuwadhihaki na kuwatusi wengine?!!! Tena Rais wa nchi?!!!!