Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Mbwe za Insta ndio zimemkamatisha mbaya zaidi wanaija wanakwambia jamaa hajawekeza kwao hela nyingi alikuwa anazitumbua huko huko Dubai.Hana akili,ukiwa unafanya mambo kama haya hutakiwi kujianika kama alivyokuwa anafanya. Kula bata ila usianike mtandaoni ili kujifanya influencer. Mimi nilikuwa simfahamu,nilivyoona hii case ikabidi nikachungulie instagram page yake nilishangaa sana. Halafu kila anakokwenda anapost. Lazima FBI wamtilie shaka tu na kuanza kumfuatilia,maana kazi anayofanya ilikuwa haieleweki. Ila bata anazokula sasa ni balaa.
Akili kubwa hizo,Jamaa genius
Huyu anatumia akili mazee,hamshikii MTU panga,wala bastola,Hawa ndio wanatakiwa washughulikiwe watu wanatafuta pesa kwa jasho wao kazi kukaa tu na kutapeli
Genius anajiachia hivyo kwenye mitandao
Huyo alikuwa na ushamba fulani
Ova
Too sad.Mbwe za Insta ndio zimemkamatisha mbaya zaidi wanaija wanakwambia jamaa hajawekeza kwao hela nyingi alikuwa anazitumbua huko huko Nigeria.
movie zinawadanganya , jela za ulaya kama upo hotelini tu, chakula kizur, unalala pazuri, viwanja vya michezo. n.k,
Kwa kweli! Tutaona mengiUkistaajabu ya Mussa.....
Marekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.
we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila sikuMarekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.
we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila siku
Basi acha na yeye akaumize kichwa huko jela.Akitoka hapo muda kapoteza na kafilisiwa.Huyu anatumia akili mazee,hamshikii MTU panga,wala bastola,
Unapigwa kimtandao tu,
Ngoja akanyooshwe huko jelaHio nayo sio kazi rahisi,kama ni rahisi jaribu na wewe tuone,isitoshe hao mabazazi wanachota mali nyingi afrika,wacha wapigwe tu hata siwaonei huruma.
Hushpuppi kama ASHIPAPI mamaeeee bora kapelekwa USA maana DUBAI hukumu yake ingekuwa simple tu!!View attachment 1497386
Socialite wa mitandaoni kutoka Nigeria, mfanyabishara hewa Hushpuppi aliekamatwa mwezi uliopita mjii Dubai amehamishiwa Marekani na kusomewa mashtaka ya utakatishaji pesa na uhalifu wa kimtandao.
Atuhumiwa kutaka kutapeli club moja ya EPL wamtumie Pound 100M sawa na Dollar 124M au Bilioni 280 za kitanzania.
Yeye na genge lake la utapeli la kimataifa wamehusika katika wizi wa mabilioni ya pesa kwa njia ya mtandao.
Mkuu funguka zaidi, kwahiyo sio salama? Kwani ndani ya jela hakuna ulinzi?Ondoa mawazo kwamba nadanganywa na movie kwasababu mimi naishi huku kwa nusu ya maisha yangu kwa sasa. Mimi nakushauri tu, usisikilize story za vijiweni. Jela za Marekani si salama kabisa, ni kitu cha kawaida watu kubakwa au kuuawawa. Usiongee vitu usivyovijua mkuu, nakushauri fanya research kabla ya kuniquote tena.
Jela zao kuna gang's, weusi zao, wa Spanish zao Russia zao . Time yoyote unaweza ukauliwa.you have to watch your back hakufai. Drugs humohumo na inasemekana kifungo chake kitakuwa karibu miaka 20Marekani sio Ulaya mkuu, embu kuwa serious kidogo. Halafu fanya research uzijue jela za unyamwezini , yaani bora uende Segerea utakuwa salama, sio kule kaka.