Acha kubisha ujinga kasome kitabu kinaitwa THE Macho man behind the bars.we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila siku
Instagrammer na tiki yake,kumbe tapeli mwizi wa kutumia internet.
Ebwanaeeeh...Ni wanaija wote au baadhi?Asilimia kubwa ni matajiri na utajiri wao ni madawa ya kulevya. Huwa wanatumia tekniki ya kuoa raia wa nchi husika ili wapate uraia na kuanza kuingiza madawa ya kulevya. Wana akili nyingi kiasi kwamba wakishakulia timing huchomoki
Fake until I make itKuna maisha fake sana mtandaoni, sema yana inspiration ndani yake, hatuwezi ku post umasikini wetu tuna post utajiri hata kama ni fake
Naanza na wewe sheheSasa inabidi uwaulize hao wanaotamani maisha ya mtandaoni wakati hawana plan
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Diana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona tunaelewana, watu wanalamika ku fake maisha ndiyo ujue walimwengu wanapenda watu wawe masikini, yani ntu ukifanikiwa nishida, ni heri ufake tu mpaka wabaya wako wakate tamaa,Fake until I make it
Usipokitamani kitu utakipataje sasa, na unatakia uishi nao, tatizo wabongo wanapenda watu wawe masikini tuFake until I make it
Naanza na wewe shehe
Usitamani, bali vikupe moyo wa kutafuta vyako hii falsafa hujaitumia vizuriMimi sina malengo ya kuishi maisha ya mtandaoni ndo maana sina mipango..
Naishi kiuhalisia wa maisha yangu.
Sasa kuwa na malengo ya magari mazuri wakati hauna mipango ni sawa na KUTAMANI.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Acha uwoga ...anaweka good lawyers anatoka ..watu wanauwa na jela wanatoka
Hao walishalipa malawyer kabla hawajadakwa..Mkuu kuweka good lawayers ni ngumu kwa wakati huu wa sasa,kwanza hapo ujue accounts zake zishafungiwa hapati hela,watu ambao wangemsaidia au marafiki wanaogopa pia kufuatiliwa.
Kifupi ana wakati mgumu kuruka hicho kiunzi
Hao walishalipa malawyer kabla hawajadakwa..
they are not fools...
they know the risk of their business in advance
FBI kuna kesi nyingi zimewashinda....Siyo kama unavyowaza ,mpaka mtu asakwe na FBI ina maana kila kitu wanajua na wana kila evidence siyo kama unavyowaza ,hizo kesi wengi hawatoki na huyo siyo wa kwanza
FBI kuna kesi nyingi zimewashinda....
Ni inahitajika Ujasiri wa hali yajuu sana, kuifanya sehem ya maisha yako kama jamaa.Instagrammer na tiki yake,kumbe tapeli mwizi wa kutumia internet.
Ni kweli naweza kua mjinga ila ndio ninaemvua mama yako chupi.
Mkuu nilimjibu kwa sababu alitaka ajibiwe hivyo. Naheshimu sana watu mkuu ila ukija hovyo hovyo naendana na wewe unavyotaka.Mkuuu hiii sio kauli ya kunambia mwenzio bwana,hiii ni mijadara ya kijiweni tu sasa mama yake anaingiaje humu?
Ww lazio imetokea jiji la roma hajakoseaHakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini