Kumbuka unapewa ruzuku ya mbolea, ardhi haulipii kodi, haulipi kodi ya mazao na kadhalika. Sasa wachokozeni TRA wawafuate huko mashambani.Ungejua tunavyohangaika na kilimo usingesema hivo jombaa. Niuze ndani ya nchi gunia moja elfu 36 anakuja mkenya gunia moja nauza laki 1 na 20 hata kama ni ww unamuzia nani hapo????
kwa gharama zako unazijua gharama wewe mwendawazimu, au unachat ukiwa kwenye sofa kwa shemeji yako unahisi unajua kila kitu?!Kama una familia ya kulisha nenda kalime. Usitegemee wengine wakulimie na wakuuzie wewe kwa bei unayotaka, nenda kalime na uuzie familia yako kwa bei unayotaka ama uwape bure.
Ulivyo taahira unataka mimi nilime kwa gharama zangu halafu wewe uje ununue kwa bei ndogo ukalishe familia yako, kalime uwalishe mwenyewe.
Nimelima mwenyewe kwa gharama zangu na nitauza mahala napotaka.
Familia yako inanihusu nini mimi? Walale njaa, wafe njaa mimi nahusikaje? Walikuja kunisaidia kupalilia?
Wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka.
Sasa hapo umeongea nini na wewe mbona haueleweki.hii ni hoja ya kijinga zaidi kwa mwaka 2023, nipo mbozi nanua debe kwa 12000, so acha tununue wakulima wanufaike na kazi yao
Hamumkomoi mtu kwani mkulima upo pekee yako. Hakunaga mtu anakufa njaa wakati vyakula vipo sokoni.Mlizoe vyakula kuuzwa bei ndogo mtakoma term hii
Haujasaidia na hii comment yako zaidi ya kukera tu. Fanya kama kuelewa mtu anaongea nini before haujaandika chochote kumjibu.Nenda kalangue na wewe utunze mazao mambo ya kulalamika mitandaoni bila kuchukua hatua ni ujinga
Sawa na sisi tutapigia chapuo wakulima waanze kulipa kodi ya ardhi ya kilimo, walipie VAT ya mazao yao yanapoingia sokoni, walipishwe kodi za ushuru wa forodha wanapopitisha mazao mipakani, walipe kodi ya mapato, na halimashauri ziweke tozo za mashambani kwa ekari na tozo za mapato kulingana na kilimo husika na pia ruzuku ya mbolea iondolewe kabisa mpambane na soko huria la pembejeo za kilimo.Nenda ulime ulishe familia yako, yaani unataka mwingine alime ununue bei Chee,
Na huu ndio ushauri nilitegemea kuona kwa watu wanaotetea kuwa wakulima wapewe ruhusa ya kuuza nje.Unajua kwa mtu asiyewajali walala hoi anaweza akasema waziri yupo sawa. hila mkulima asizuiliwe kuuza mazao yake kwenye bei nzuri popote pale apatakapo sawa hila kwa nini serikali sasa isiyanunue hayo mazao kwa bei nzuri ya kumfuta uchungu mkulima alafu baadae waje wawauzie raia wao bei nafuu kipindi cha mambo magumu kazi ya serikali ni kuakikisha raia wake wanakuw na maisha bora ikiwezekana wayagawe bure kabisaa kwani hzo pesa zitakazonunua hayo mazao ni kodi za wananchi
Hawajielewi hawa. Wanaongea kwa lawama badala ya akili. Vijitu hata havijawahi kutafiti na kujifunza madhara ya kuuza stock ya chakula ila vinakuja hapa vinachonga ngenga na kujifanya vinajua sana kilimo cha biashara pumbavu zao hawa.Tatizo akili zenu ni takataka unadhani mkenya akinunua 120k ndio uchumi wa mkulima unakuwa? Yaani ni kuhamisha tatizo unalitoa kwa mkulima mwezi huu kesho unalirudisha ... mkulima anauza 120k baada ya miezi mitatu mahindi yanarudi shamba kwa 150k kwa gunia umefanya nini kama sio akili matope.
Hapo hata hakajui nimekawekea list ya vitu ambavyo wakulima hawagharamiki kuvilipia ikiwamo kulipiwa ruzuku, kodi mbali mbali ambazo tz hakuna ndio inawapa wao urahisi wa kufanya kilimo.Unajua kwann pesa zetu za Kodi zinatumika kuagiza mbolea ya wakulima na Serikali inatia RUZUKU Kwa MKULIMA?
Kuna MKULIMA anajiagizia mbolea nje ya nchi?
Unajua KAZI za wizara ya KILIMO ni pamoja na kuhakikisha Bei haziwi kubwa Kwa wananchi Kwa kununua chakula Kwa wakulima na kutunza ktk maghala Ili kuja kuwauzia wachuuzi masokoni kudhibiti mfumuko wa Bei?
Huyo bashe ni failure ktk wizara hiyo.
NDIO maana pakawa na Serikali, Kila mtu akifanya jambo atakalo nchi itakuwa ya hovyo.Usiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili ni mavi.
Hivi wewe unajua bei ya mbolea na madawa yanayotumika kwenye kilimo kwenye soko na bei ya ndani ya Tanzania?!Kama serikali inaweza kununua mahindi kwa bei ya juu ili kunusuru walaji, kwa nini isitumie pesa hizo hizo kuwapa ruzuku wakulima ili walime kwa bei nafuu na kuuza kwa bei nafuu?
Wakulima wanalima kwa ukiwa na shida tele , wanakuja kuonekana na serikali wanapouza mazao yao tu.
Bora umewanyooshea taarifa aisee. Tena umeongea vema sana. Unajua wanasema kuna vijitu huwa vinajisahau sana.Kwenye population ya 60 million Tanzanians. 30% sio wakulima na wanaishi mijini.
Hayo mazao ya shambani mengi yanauzwa magengeni hakuna cha VAT huko serikali aipati makusanyo ya hivyo.
Ilhali mpaka sasa huyo kichaa Bashe ameshapewa zaidi ya trillion moja kufanya upuuzi wake huko kwenye kilimo. Hiyo 30% ni sawa na 18 million people wakubwa na vichanga kwa wastani kila mtu kachangia tsh 55 elfu, hao wakulima waweze pata mbolea za ruzuku, Bashe afanye experiment za kipumbavu za kilimo.
Bado ujaweka mchango wa watu mijini kwenye kujenga hizo barabara zinazoenda mpaka kijijini na kuwafungulia masoko hao wakulima, mchango wao kufikishiwa umeme vijijini na mambo luluki.
Wanastahili zote kuangaliwa kwenye bei himilivu ya chakula; hizo hela zinazoenda huko azitoki mfukoni kwa baba yake Bashe ni kodi za watu wa mjini; bila ya wao hakuna mkulima wala watu wakwenda kununua hayo mazao.
Mkulima hana mchango wowote kwenye kodi ni kupe anaetegemea hela za walipa kodi mjini ili aishi; halafu mnasema watu wa majini hawana mchango kwa mkulima. Hizo sijui akili za wapi.
Broo kwenye kilimo nakujua sana , na ni mdau pande hizo, hiyo mbolea unayosema ya ruzuku msimu huu imeuzwa kwa shilingi elfu 70, kwa mfuko wa kilo 50, bado ni ghali sana kwa mkulima , kumbuka kuna msimu kugoma mvua mazao yanakauka , hizo zote zinakuwa ni hasara kwa mkulimaHivi wewe unajua bei ya mbolea na madawa yanayotumika kwenye kilimo kwenye soko na bei ya ndani ya Tanzania?!
Unajua ni kiasi gani kinatumika katika manunuzi huko serikalini ili kuzipa ruzuku mbolea kabla haujanunua bei ya rejareja?!
Sidhani kama umeshawahi hata kushiriki kilimo maana ungeelewa.
You lose some and win some game!! Kama unaona mjini kugumu kwa ma kodi uliyoainisha , nenda kaishi kijijini upate huo urahisi wa umeme wa rea n.k au kalime uone mziki wake .Bora umewanyooshea taarifa aisee. Tena umeongea vema sana. Unajua wanasema kuna vijitu huwa vinajisahau sana.
Watu wa mijini wanahangaika sana na kupambana wanamakato ya kila aina ila ukienda vijijini huko asilimia 90 ya makato tunayolipia sisi wao hawahusiki. Hebu tuanze PAYE, TOZO, MIAMALA YA BENKI, VAT, KODI YA MAJENGO, KODI YA ARDHI, KODI YA BIASHARA, CORPORATE TAX, FINE ZA TRAFFIC BARABARA, ROAD LICENSE FEE, etc.
Hizi vitu zote zinakwenda lipia magharama ambayo wao wanalia lia sijui matibabu, ruzuku za pembejeo za kilimo, umeme wa REA, ujenzi wa miundo mbinu kama masoko na barabara.
Vibwana mdogo vipuuzi sana hivi
Wewe ndio jinga la mwisho kabisa, acha wakulima wapige hela kwa jasho lao, kama unataka kula bure nenda jelaMkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,
bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?
Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana