Huu hapa umri wa Bikira Maria wakati anamzaa Yesu

Mkuu bila kumtaja Kiranga hujakamilisha uzi au vipi?

Please keep my family out of your posts.
 
Idiotism!!!
 
Mkuu bila kumtaja Kiranga hujakamilisha uzi au vipi?

Please keep my family out of your posts.
🤣🤣🤣 Kumbe una mtoto anaitwa Hamisa.

Take it easy man, we are not talking about ur death or ur life here man.

Wewe hujijui kwamba ni celebrity hapa mkuu.

SASA nisipo mtaja kiranga nitamtaja nani hapa jf.?

Nitake radhi mkuu
 
Huwa najiuliza, hv adamu aliumbwa akiwa na ukubwa gani ulinganisha na dunia ya leo? Mtoto mchanga, kijana, mtu mzima au mzee?
 
Yes anao mkuu ndio hao akina James na Andrea
 
Vipi kuhusu Mke wa kwanza wa Adam.???
Unafahamu historia ya Lilith Mwanamke aliyeumbwa mwanzo na Adam,na baadae kuasi na kuwe sehemu ya Ibilisi...?
 
Ndio nafahamu mkuu
Naomba uelezee unavyofahamu,ili tujifunze,hata hivyo kuna yafuatayo:-

Kwa maana hiyo,Hawa ni sehemu ya Adam.....(baada ya Adam kuchoshwa na tabia za Mke waliyeumbwa naye wote).
Na si kweli kuwa Mwanzo aliumbwa Adam pekee,kwa kuwa uumbaji ulikuwa ni kwa pair/jozi ya wawili wawili.
Ni kwanini maandiko hayausishi uwepo wa Mke wa kwanza wa Adam??...kama si kweli kwanini Adam aumbwe pekee alafu eti aonekane mpweke ndipo apatiwe mwenzake..?
Naomba unielimishe kuhusu dhana ya "Penye mafanikio ya Mwanaume nyuma kuna Mwanamke""
(Kwamba walikuwa wote pamoja Hadi mafanikio au alimwacha Mwanamke msumbufu ndipo alipofanikiwa..?)
 
Hoja yako ni dhaifu mno,kwasababu hujaweka wazi vyanzo vya taarifa yako.Kwa hiyo tunapuuza km ifuatavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…