Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hata mimi nashangaa sana, mbona wanahama kutoka kwenye traditional color zao? Kijani na njano is no more!Uzi sio mzuri pia sio mbaya sana kama za mwanzo za ligi..
Kuhusu rangi mbona kama mnahama kwny rangi zenu halisi?
Naona mnawavamia Azam hiyo jezi ni njano au gold au??
Haushtui hata... uzi wa utopolo ulikua ni zile za mwanzo bwana...kwa sasa naona kama marudio rudio tena kama mtumba..
Ahahha hiyo hapa nyekundu special kwa waganga na wachawiSiku moja jaribu kuvaa Uzi mwekundu wa Mnyama uone utakavyokukaa poa kuliko hiyo rangi ya Vyura π
Mdogo angu, kumbe wewe ni mwananchi.Umekaa poa sana hii nitanunua ata kukopa kausha damu kama sina pesa ase
Cc: Half american Grahams Tayukwa De Opera Zulu man
hivi wewe huwezi kukaa kwako mpk uje upige zogo kwa jirani like uzi lenu mbona sisi hatupigi kelele na limewekwa bango kubwa et mo cola! hebu kwenda huko,!Uzi sio mzuri pia sio mbaya sana kama za mwanzo za ligi..
Kuhusu rangi mbona kama mnahama kwny rangi zenu halisi?
Naona mnawavamia Azam hiyo jezi ni njano au gold au??
Haushtui hata... uzi wa utopolo ulikua ni zile za mwanzo bwana...kwa sasa naona kama marudio rudio tena kama mtumba..
Tena kindaki ndakiMdogo angu, kumbe wewe ni mwananchi.
Safi Sanaa πTena kindaki ndaki
Kama hautaki kuja kwetu utajijua mwenyewe...nitolee bichwa lako huko...hivi wewe huwezi kukaa kwako mpk uje upige zogo kwa jirani like uzi lenu mbona sisi hatupigi kelele na limewekwa bango kubwa et mo cola! hebu kwenda huko,!