Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha..........Nia yako nife mapema ili uanze kuwasumbua Wajukuu zangu eeh😅Ukipata emonia mm nitachangisha wananchi hela ya matibabu niandalie kibali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..........Nia yako nife mapema ili uanze kuwasumbua Wajukuu zangu eeh😅Ukipata emonia mm nitachangisha wananchi hela ya matibabu niandalie kibali
Chagua moja bwana🤣🤣Uzi wa nyumbani na uzi wa tatu..au unasemaje babez!!
Uzi wa yanga n mkali sana.Umekaa poa sana hii nitanunua ata kukopa kausha damu kama sina pesa ase
Cc: Half american Grahams Tayukwa De Opera Zulu man
Unalosema linaukweli ila nina kuhakikishia msimu huo uliona wameweka hizo rangi kama ziada tu ila huwezi kuondoa uwepo wa red na white kwa Man united na huwezi kuondoa Blue kwa Chelsea.Ila ma HIPS FC bana eti rangi harisi ya timü inapotea kama hayajielewii vilee kule kwa wenzetu MAN U ashawahi vaa jez ya gold CHELSEA ashawah vaa jez za njano MADRİD ashawah vaa jez nyeusii mtuambie uhalisia wao ulipotea wapiii
HAKUNA KITU HAPO NA KOCHA MLIVYOMFUKUZA MPAKA BURUDANI KESHOKUTWA SABA BIKAKlabu ya Yanga imezindua jezi mpya rasmi za nyumbani, ugenini na jezi ya tatu kwa ajili ya kampeni ya Kombe la Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2024/25. Jezi hizi mpya zitakuwa sehemu ya maandalizi ya timu kuelekea michuano hiyo, huku zikitarajiwa kutumika katika mechi zao za nyumbani na ugenini wakianza na Al Hilal ya Sudan Novemba 26 katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
View attachment 3156793
Jezi ya Nyumbani
View attachment 3156802
Jezi ya Ugenini
View attachment 3156806
Jezi ya Tatu
Unatakiwa uwe unajua kuchangamkia fursaHahaha..........Nia yako nife mapema ili uanze kuwasumbua Wajukuu zangu eeh😅
Wazi mkuuUzi wa yanga n mkali sana.
Upo tayari kumlipia mtoto wa mtu Kodi ya nyumba??😅Unatakiwa uwe unajua kuchangamkia fursa
KodiiUpo tayari kumlipia mtoto wa mtu Kodi ya nyumba??😅
Au unaweza kumnunulia Ice cream tu ya Barhessa 😜
We unadhani hizi kelele za Vijana wa Kataa Ndoa, si ndiyo zimeanzia huko kwenye vibomu vya Kodi ama Gesi ya kupikia 😜Kodii
Mimi siwezi nakuachia babuWe unadhani hizi kelele za Vijana wa Kataa Ndoa, si ndiyo zimeanzia huko kwenye vibomu vya Kodi ama Gesi ya kupikia 😜
Hahaha.........nakutisha Mjukuu, wewe utapata lile zari la Mentali la Profesa JayMimi siwezi nakuachia babu
Hizi habari za rangi halisi zipo Bongo tu, Liverpool anatoa hadi jezi za kijani na nyeupe, ManchesterUzi sio mzuri pia sio mbaya sana kama za mwanzo za ligi..
Kuhusu rangi mbona kama mnahama kwny rangi zenu halisi?
Naona mnawavamia Azam hiyo jezi ni njano au gold au??
Haushtui hata... uzi wa utopolo ulikua ni zile za mwanzo bwana...kwa sasa naona kama marudio rudio tena kama mtumba..
Awe bibi wa kizungu maana Zulu man kashindwa nitafutiaHahaha.........nakutisha Mjukuu, wewe utapata lile zari la Mentali la Profesa Jay
Utapata mchuchu ambaye atakuwa anakulipa wewe Posho ya kujikimu baada ya kazi nzito 😜
Ahahahaa rasta tenaUsijali
Anza kufuga Rasta ili upate Bibi mmoja wa kidosi 😅
hii rangi ni nzuri. Ile ya lichama ni ya hovyooUzi sio mzuri pia sio mbaya sana kama za mwanzo za ligi..
Kuhusu rangi mbona kama mnahama kwny rangi zenu halisi?
Naona mnawavamia Azam hiyo jezi ni njano au gold au??
Haushtui hata... uzi wa utopolo ulikua ni zile za mwanzo bwana...kwa sasa naona kama marudio rudio tena kama mtumba..
tag location uletewe. delivery cost mteja unalipia.3rd Kit naitaka 🖤