Huu hapa uzi mpya wa Klabu ya Yanga wa Klabu Bingwa Afrika 2024/25

Huu hapa uzi mpya wa Klabu ya Yanga wa Klabu Bingwa Afrika 2024/25

Ila ma HIPS FC bana eti rangi harisi ya timü inapotea kama hayajielewii vilee kule kwa wenzetu MAN U ashawahi vaa jez ya gold CHELSEA ashawah vaa jez za njano MADRİD ashawah vaa jez nyeusii mtuambie uhalisia wao ulipotea wapiii
 
Chupi upande mmeumia sana
Kwanza rangi mnatupangia nyie kama nani?

Kwa taarifa yenu uzi wa home lazima uwe rangi husika ila away kit unaweza tumia rangi unayotaka

Jezi ya Madrid ya away ya njano mnasemaje hapo?

Uzi wa kwendea ikulu huu
 
Ila ma HIPS FC bana eti rangi harisi ya timü inapotea kama hayajielewii vilee kule kwa wenzetu MAN U ashawahi vaa jez ya gold CHELSEA ashawah vaa jez za njano MADRİD ashawah vaa jez nyeusii mtuambie uhalisia wao ulipotea wapiii
Home kit lazima iwe rangi ya club, away kit ndio unaweza kuchanganya unavyotaka. Hizo timu za ulaya hazijawahi kutengeneza home kit za rangi tofauti na rangi halisi za club. Chelsea utakuta blue ipo miaka nenda rudi, vivyo hivyo kwa Manu u utakuta rangi nyekundu.
Ila namuelewa designer wa utopolo alishatoa maelezo kuwa wanachagua rangi kulingana na mahitaji ya soko.
 
Ila ma HIPS FC bana eti rangi harisi ya timü inapotea kama hayajielewii vilee kule kwa wenzetu MAN U ashawahi vaa jez ya gold CHELSEA ashawah vaa jez za njano MADRİD ashawah vaa jez nyeusii mtuambie uhalisia wao ulipotea wapiii
Madrid ndo wanahama mpaka..
Mwaka jana tumevaa Lavender mwaka huu kuna orange na lavender mixee lightblue
 
Njano ya Yanga haikuwa na shida kabisa hizi rangi zingine acha wavae gen z mi nitabaki na njano hali Ile ya kina niyonzima
 
Klabu imejaribu kutumia wachezaji kutangaza jezi mpya ikashindikana, ikageuka kwa mamodo ikashindikana, sasa wamehamia kwa mashangazi wenye semi-trailer kuvutia biashara. Shikamoo Sheria Ngowi, wameacha jezi zao wanajadili rangi zetu.
😂
👌🏽
 
Klabu ya Yanga imezindua jezi mpya rasmi za nyumbani, ugenini na jezi ya tatu kwa ajili ya kampeni ya Kombe la Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2024/25. Jezi hizi mpya zitakuwa sehemu ya maandalizi ya timu kuelekea michuano hiyo, huku zikitarajiwa kutumika katika mechi zao za nyumbani na ugenini wakianza na Al Hilal ya Sudan Novemba 26 katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
View attachment 3156793
Jezi ya Nyumbani
View attachment 3156802
Jezi ya Ugenini
View attachment 3156806
Jezi ya Tatu​
Uzi mbaya
 
Uzi sio mzuri pia sio mbaya sana kama za mwanzo za ligi..
Kuhusu rangi mbona kama mnahama kwny rangi zenu halisi?
Naona mnawavamia Azam hiyo jezi ni njano au gold au??
Haushtui hata... uzi wa utopolo ulikua ni zile za mwanzo bwana...kwa sasa naona kama marudio rudio tena kama mtumba..
Kauze uji huko
 
Back
Top Bottom