Amazing Legal Officer
Senior Member
- Apr 4, 2024
- 143
- 172
Wasijisahaulise FULL TIME TABORA 3 YANGA 1Mtajikuta mnavaa rangi za Tabora soo .. ๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasijisahaulise FULL TIME TABORA 3 YANGA 1Mtajikuta mnavaa rangi za Tabora soo .. ๐ ๐ ๐ ๐
Umesahau kufungwa mara nneTangu wafungwe na Azam wanawaiga kila kiti
Nimesahau..ila wewe bado unakumbuka kufungwa miguu ya Bajaj na TaboraUmesahau kufungwa mara nne
Sidhani kama wamekuelewaNaona Kuna Wana Yanga wanatoa hoja kuwa suala la rangi Asilia za jezi si kitu. Wanatoa mifano kwa vilabu vya ulaya.
Tambueni hili:-
1. Rangi Asilia ni alama ya chimbuko la klabu husika na hubeba utamaduni na desturi ya klabu.
2. Hizo timu za Ulaya huamua kuzalisha jezi zenye rangi mbali mbali kwa sababu za kimasoko tu LAKINI jezi za msingi ( rangi Asilia) lazima iwepo kila msimu.
Rangi Asilia ndiyo utambulisho wa klabu mfano: Chelsea nickname Yao ni the blues kwa sababu traditional colour Yao ni blue.
Manchester united ni red devils kwa sababu traditional colour Yao ni nyekundu.
Unapoondoka kwenye misingi ya rangi Asilia unaitupa historia Yako na kuanzisha kizazi kipya.
In my life, sijawahi kuvaa nguo nyekundu.Siku moja jaribu kuvaa Uzi mwekundu wa Mnyama uone utakavyokukaa poa kuliko hiyo rangi ya Vyura ๐
Sanaaaaunapenda wabibi?๐คฃ
Ahahah sawa imeisha iyoooNitumie zote (simba na yanga) nakutumia address
WachafuSanaaaa
Size (L) na new kit ya team ya TaifaAhahah sawa imeisha iyooo
Ila watamuWachafu
Ahahha umepataSize (L) na new kit ya team ya Taifa
Karibu leo ninao wa mchele wenye tui la nazi..Kauze uji huko