Huu hapa uzi mpya wa Klabu ya Yanga wa Klabu Bingwa Afrika 2024/25

Ila ma HIPS FC bana eti rangi harisi ya timΓΌ inapotea kama hayajielewii vilee kule kwa wenzetu MAN U ashawahi vaa jez ya gold CHELSEA ashawah vaa jez za njano MADRΔ°D ashawah vaa jez nyeusii mtuambie uhalisia wao ulipotea wapiii
Unalosema linaukweli ila nina kuhakikishia msimu huo uliona wameweka hizo rangi kama ziada tu ila huwezi kuondoa uwepo wa red na white kwa Man united na huwezi kuondoa Blue kwa Chelsea.
 
HAKUNA KITU HAPO NA KOCHA MLIVYOMFUKUZA MPAKA BURUDANI KESHOKUTWA SABA BIKA
 
Mimi siwezi nakuachia babu
Hahaha.........nakutisha Mjukuu, wewe utapata lile zari la Mentali la Profesa Jay

Utapata mchuchu ambaye atakuwa anakulipa wewe Posho ya kujikimu baada ya kazi nzito 😜
 
Hizi habari za rangi halisi zipo Bongo tu, Liverpool anatoa hadi jezi za kijani na nyeupe, Manchester
 
hii rangi ni nzuri. Ile ya lichama ni ya hovyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…