Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

tanga hiyo mzee, alichonifanya yule mdada wa kidogo nilipokuwa Tanga sitokija sahau.

nilihisi ananifanyia zindiko la huko kwao, nilipokuja kuuliza wenyeji wakaniambia nisiogope, yale ndio mapenzi ya wanawake wa kidogo,balaaa.
Wadigo balaa lao ni zito asee
 
Kumekucha kumekucha
 
Trimethoprim and sulfamethoxazole (Bactrim, Bactrim DS)
Fosfomycin (Monurol)
Nitrofurantoin (Macrodantin, Macrobid, Furadantin)
Cephalexin.
Ceftriaxone.
Vp tena unamkorogea limbwata la kizungu au
 
🤣🤣Huyo maskini
Hana maisha
 
Sisi inatuhusu nini? We ulikosea kuoa tangu mwanzo.

Sisi haya tunayaogelea over 20yrs now

Mwanamke lazima awe na sifa ya kike, unyenyekevu, heshima na utulivu. Tabasamu na ucheshi wa kiwiZi wizi hivi.

Ukimwambia leo niko bize hakupigii simu hadi muda uliomwambia.
 
Nipasie namba za Huyo (feminist) mke wako kama hutojali,,,nione namna ya kumla mpaka mifupa nawapendaga sana wa aina hiyo.
 
Mkuu muulize mchepuko wako hana dada yake, nami niunge tela nipate mchepuko wa kidigo.
😂🤣
 
Wanawake wengi wa huo mkoa ni Malayyaa mbwaa .. Tena cheap hata hutumii gharama kubwa wengi wana STD' s!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…