Wadigo balaa lao ni zito aseetanga hiyo mzee, alichonifanya yule mdada wa kidogo nilipokuwa Tanga sitokija sahau.
nilihisi ananifanyia zindiko la huko kwao, nilipokuja kuuliza wenyeji wakaniambia nisiogope, yale ndio mapenzi ya wanawake wa kidogo,balaaa.
Kumekucha kumekuchaNimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).
Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.
Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).
Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.
Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.
Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?
Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.
Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Kwa Wingi wanapatikana Mkoa wa Tanga, ila kulingana na shughuli za kiuchumi wanapatikana hata Dsm hapaWanapatikana wilaya gani hasa hawa Wadigo?
Vp tena unamkorogea limbwata la kizungu auTrimethoprim and sulfamethoxazole (Bactrim, Bactrim DS)
Fosfomycin (Monurol)
Nitrofurantoin (Macrodantin, Macrobid, Furadantin)
Cephalexin.
Ceftriaxone.
dawa za UTIVp tena unamkorogea limbwata la kizungu au
🤣🤣Huyo maskiniAisee..... wewe una shida kumkichwa.
Mwanamke inabidi amnyenyekee mwanaume wake kwa sababu moja tu 'YEYE NI MWANAMKE' na wala sio sababu za kifedha au mali.
Una tatizo kubwa sana kumkichwa. Huna budi kwenda kawe GENTAMYCINE akupeleke kwa mwamposa wakemee hilo kitu
ndo kusemaa...........Trimethoprim and sulfamethoxazole (Bactrim, Bactrim DS)
Fosfomycin (Monurol)
Nitrofurantoin (Macrodantin, Macrobid, Furadantin)
Cephalexin.
Ceftriaxone.
dawa za UTI anapaswa azifahamu mapemando kusemaa...........
😂😂
afadhali umempa majina mawilimawili ya madawadawa za UTI anapaswa azifahamu mapema
Sisi inatuhusu nini? We ulikosea kuoa tangu mwanzo.Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).
Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.
Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).
Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.
Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.
Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?
Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.
Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
[emoji23][emoji23]Mafuriko ya Hanang yalitakiwa yachague watu wa kuondoka nayo..[emoji28]
unamaanisha anatoa huduma ya tigopesa au?Hii siachi kitu chief. Ntahakikisha kama akiondoka kwangu atakaefuata akute mzoga tu na matobo matobo makubwa
Mkuu muulize mchepuko wako hana dada yake, nami niunge tela nipate mchepuko wa kidigo.Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).
Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.
Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).
Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.
Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.
Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?
Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.
Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.