Wacha uongo wewe. Nani anakataa kusali kanisa lolote? Je kwanini mnauana wenyewe kwa wenyewe? Usitifanye sisi wote matutusa we dogo.
Madhehebu mengi ya Kiksrito wana msingi mmoja tu ambao ni Kristo. Utofauti wao ni kwenye mapokeo ya kibinadamu tofauti na nyie huko.
Huo sio mdahalo.Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Ulisikia tangazoHuo sio mdahalo.
Ni muhadhara. Mlio wengi mnachanganya Jesus Vs Muhammad na Jesus & Muhammad.
Mnenaji anakususia Jesus and Muhammad wala si mdahalo.
Nimeona tangazo.....unataka kusemaje.Ulisikia tangazo
Kwa hiyo umeshindwa kujibu swali langu ukaona unigeuzie swali mimi tena. Wewe kwenye posts zako ndo umesema Yesu alikuwa muislamu na post nyingine ukanukuu MATHAYO 6:9 kusema Yesu sio Mungu.Kwani Islam maana yake ni nini kwa unavyofahamu wewe ????
Kwani wapi yesu alisema kuwa yeye ni mwana wa mungu ??
Mbona unajawa na jaziba vipiNimeona tangazo.....unataka kusemaje.
Nonetheless, wewe inakuuma nini?
Yesu na Muhammad ni baba zako?
Jibu swali. Jazba za nyoko.Mbona unajawa na jaziba vipi
Hapo lazima muwe na special Mission tu.. hata kwenye paragragh yako ya mwisho inajielezaHapana bwana acheni uchonganishi
KAMA KITU HUKIJUI NYAMAZA
ULE SIYO MDAHALO BALI NI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA KIISLAMU AMBALO LITAJIKITA KATIKA MANENO YA AMANI. DR ZAKIR NAIK NA MWANAE WATAKUJA TANZANIA KUZUNGUMZA NA WAISLAMU LAKINI PIA WANAKARIBISHWA WAUMINI WA DINI ZOTE
KITU ULICHOONA WEWE NI MANENO YA KWENYE BANGO AMBAYO HATA NAYO HUJAYAMALIZA YOTE. KUMEANDIKWA "JESUS AND MUHAMMAD THE BROTHERS IN FAITH" IKIMAANISHA WAISLAMU NA WAKRISTO NI NDUGU KATIKA IMANI NA NDIYO MAANA KONGAMANO LIKAWAKARIBISHA WOTE (ASILIMIA KUBWA TANZANIA NI WAISLAMU NA WAKRISTO).
HIYO KAULI SIYO KWAMBA INATUNGWA TU BALI NDANI YA UISLAMU (YAANI QURAN) TUNAAMBIWA TUWAITE WAKRISTO NA WAYAHUDI TUZUNGUMZE KWA PAMOJA JAMBO AMBALO TUNAFANANA AMBALO NI LA KUMWABUDU MOLA MMOJA TU KWA HAKI
HAYA TUAMBIE HIYO YA MDAHALO UMEITOA WAPI?
Kwa hiyo umeshindwa kujibu swali langu ukaona unigeuzie swali mimi tena. Wewe kwenye posts zako ndo umesema Yesu alikuwa muislamu na post nyingine ukanukuu MATHAYO 6:9 kusema Yesu sio Mungu.
Mimi nikakuuliza kama kwenye hiyo mistari Yesu alimwita Mungu "baba" na Quran inasema Allah sio baba kwa yeyote, kivipi Yesu ni muislamu. Ukasema hiyo ni lugha iliyotumika wakati ule kwa wayahudi.
Nikakuuliza kwa hiyo ni dhambi kumuita Allah "baba" kwa kiarabu ila ni ruksa kwa lugha zingine? Cha kushangaza unaniuliza mimi tena Islam ni nini! Wewe ulivyosema Yesu ni muislamu ulikuwa hujui maana ya Islam mpaka unauliza hivi?
Suala la Mwana wa Mungu mimi sikulileta kwako. Angalia vizuri hoja ya swali langu.
Unasoma vizuri kweli ninachoandika? Narudia tena. Ikiwa Yesu ni muislamu na Quran inasema Allah sio baba, Inakuwaje Yesu ambaye ni muislamu amuite Mungu "baba" kwenye mstari ulionukuu wewe?Wapi nilikuambia kuwa ni rukhsa kumuita Mungu , baba kwa lugha nyengine ? mbona unaanza kunipakazia ??
Nilikuuliza maana ya Islamu kwa hivyo unavyofahamu wewe ili nijuwe nianze wapi kukufahamisha , mbona unaanza kupata joto mapema ?? kama huelewi si useme ufahamishwe ?? kupakaziana kutaleta faida gani ??
Swali la yesu kuwa mwana wa mungu , kwani baba mwenye mtoto humuita vipi mwanawe ?? Mbona unakimbia hapo ??
Unasoma vizuri kweli ninachoandika? Narudia tena. Ikiwa Yesu ni muislamu na Quran inasema Allah sio baba, Inakuwaje Yesu ambaye ni muislamu amuite Mungu "baba" kwenye mstari ulionukuu wewe?
Haya anzia popote kunifahamisha.
Lugha ya peponiUtaendeshwa kwa lugha gani huo mdahalo wa Jesus na Mohamed ?
Wewe hujaelewa kusudi , waislamu wanamuenzi na kumkubali yesu kuliko dini zote. Lengo la huo mjadala ni kujadili jumbe walizoleta hao manabii kwa waislamu katika nyakati zao tofauti walizo kuja.Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Huu mstari si uliuleta wewe wa MATHAYO 6:9 ?Kwani hiyo aya imo kwenye Quran ?? Una uhakika Yesu alimuita kama aya ilivyonukuliwa ??
Ndio changamoto yenu hiyo. Kukosa uelewa wa Mambo na kukaririshwa madrassa.unataka kutuambia wewe unaweza kusali kanisa la wasenge , Gay church au kanisa la Shetani , Satanic church ??