Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Nahis wanatumia ndumba za hallucination maana mtu kwa akili zako timamu huwez kubali kupigwa na watu kama hawa.
Kasome(goigle) kuhusu Cults ndio utajua hakuna cha ndumbawala hallucinations..
Kwanza ukisha aamini kwenye vitu visivyothibitishika ndio rahisi kuingia kwenye hayo mambo..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Hahaha hebu rudi kwenye mada please....vip umeokoka[emoji23][emoji23][emoji1787]

Unataka nikutendee muujiza gani leo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa madam ukitaka nifanyia muujiza hebu ibuka hapa kejo juu niko na dear deficiency juu umetumia hiyo dear kumuita mwanamke
 
Mmmmh....sadaka ni nyingi sana atafilisika jamani
Sema kinachonichekesha wanapingana. Ndugu yangu alipewa mafuta na demu wake anasali kwa mwamposa, sasa nikawa nampa story sister nikidhani atafurahi ndugu yake anaelekea kwenye uokovu. Nikasikia masikini anatumia vitu asivyojua anaingia maagano na mizimu ya huyo mwamposa. mungu amsaidie. Siku nyingine nasikia anakandia yule sijui anajiita nabii gani alikuwa ana kanisa kule skanska.
Yani hawaaminiani kila mmoja wao anaamini anakosali tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mara uangukie kichogo yakukute ya kanumba akuuuu.
 
Hehehehe[emoji23][emoji1787] hataree tupu

Mi ntakomaa na Bible tu mpaka mwisho, mpaka na hawa watu wameelezewa kwenye agano jipya, Yesu hajaficha kitu, na kawapa makavu yao... nani exactly kinachotokea sasa hivi ulimwenguni[emoji848]

Ukiwa msomaji wa biblia haya mambo hata hayakubabaishi
 
Duh!.huyo jamaa kakosea jinsi ya kudanganya ushuhuda wake.
 
Haaahaaahaaahaa asee hapana asee[emoji848][emoji848]

Ila Wabongo vilaza au kulogwa?
 
Haaahaaahaaahaa asee hapana asee[emoji848][emoji848]

Ila Wabongo vilaza au kulogwa?
Sielewi aisee, na kuna yule sijui wa tanga alikuwa anahubiri mara ambebwa mwanzo mwisho mara awakanyage waumini.
Nahisi moyoni wanakuaga wanacheka hili jamaa limesoma lina cheo kikubwa naliambia lilale chini nilikanyage linalala. Nadhani hiyo inawafanya wajihisi powerful
 
Laini ya simu kwa sasa inaweza kuhifadhi mpaka mil 10 bila kuomba upgrade, laini yangu huwa inakaa na hiyo hela, na pia kwenye kupokea hela hakuna limit kwa siku unaweza kupokea mil 10 yote lakini kutoa kwa siku mwisho mil 5 kesho tena waweza kutoa mil 5
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aki si mnanichekesha hizi shuhuda[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha.... mwanaume mzima na mbupu zako unalala chini nabii fake akukanyage[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wana mbwembwe sana asee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukafukuzwa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho, hapo watu wanapigwa sana kwa shuhuda za uongo.
 
Kila siku tunasema tangu lini nabii akawa mnyakyusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…